Serikali taifisha akaunti ya pesa ya kiboko ya wachawi, kavuna sana hela kwa mujibu wa waumini wake! Adhabu ya kufungiwa pekee haitoshi kamwe

Serikali taifisha akaunti ya pesa ya kiboko ya wachawi, kavuna sana hela kwa mujibu wa waumini wake! Adhabu ya kufungiwa pekee haitoshi kamwe

Mungu naomba uwafungue Macho Serikali wapite na yule Muhuni wa pale Temboni
 
The moment people will understand and embrace the godly power within them,that's the moment where we'll experience true awakening
Fact..................

Watu wakijua tu kuwa Mungu haitaji dalali na wala haitaji maneno mengi, hakika hapo kutakuwa na imani ya kweli kabisa.

Mimi nilishaapa, sitopitia kwa binadamu mwingine kumfikia Mungu wangu.
 
Kwenye mada.
Tunaona mitandao ana trends sana jamaa mimi nimeanza kumfahamu huyu bwana kupitia nyimbo ya singeli nikaanza kumfuatilia huyu bwana inakuwaje kwa hichi anachokifanya anapata watu.???

Nikagundua tanzania tuna tuna uwezo mdogo sana katika kuchakata mambo na kuyatafakari.

Ilikuwaje kwanza huyu kapata kibali na kanunua eneo kaanzisha kanisa lake ana anaanza huduma kama zile ambazo ni sensitive sana.

Mimi nina rafiki zangu ambao ni wachungaji wa kweli kabisa maana historia zao hazina doa nawajua from the scratch wakija kubadilika kwa ajili ya maisha na fedha basi ni wao tu na roho zao

This man siku ya kwanza tu nikajua tu huyu kaja kutafuta pesa na sikingine sasa nikajiuliza na wengine hawaoni hili.?

Inawezekana kweli dawa za kuwagundua wachawi akawa nazo na hilo ndio alikuwa anajivunia nalo lakin kiupande wa upigaji jamaa alijipanga haswa lakin pia haikuhitaji HATA UFIKE MASTERS NDIO UJUE KAMA JAMAA MKONGOMANI NI TAPELI FLANI KWA NJIA YA NABII

kumbe alikuwa akiuza chumvi yenye picha yake kwa 35k na bado kuna kondoo walikuwa wananunua dah.

Wananchi wamepigwa sana hela na hawakupona mwisho wa siku wamechomoa betri
Nisikuache hivi hivi ndugu msomaji kwanza tumsikilize huyu mama


Kiufupi mchungaji kiboko ya wachawi anatakiwa kufungiwa na kurudisha hela zote alizomiliki kwa maana kazipata hapa nchini na ikiwezekana anyongwe kabisa ili kurudisha displine kwa hawa matapeli wa kiroho


Naambatanisha video hapa umsikilize shuhuda.

View: https://youtu.be/549ULLxQV_A?si=EKccqgn3tD5f3QS5

Huwezi kumnyang'anya mtu fedha ambazo hajaiba na wala hajanyang'anya watu. Hizi ni fedha zake halali kwa sababu watu walikuwa wanampa kwa ridhaa yao. Ukifanya hivyo basi inabdi hata Babu wa Loliondo naye akanyang'anywe mali aliozawahi kuchuma wakati wa kikombe cha babu
 
Siendagi hayo makanisa mimi , halafu wamemfungia kisa tu alimwombea yule jamaa wa serikalini ndio ikala kwakwe maana angewasema waliomloga so ndio hivyoo
 
Fact..................

Watu wakijua tu kuwa Mungu haitaji dalali na wala haitaji maneno mengi, hakika hapo kutakuwa na imani ya kweli kabisa.

Mimi nilishaapa, sitopitia kwa binadamu mwingine kumfikia Mungu wangu.
huu ndio ukweli ambao watu wamegoma kuukubali either kwa uoga kutokana na vitisho ama kwa ignorance ya kutofikirisha akili na kuchambua mambo
 
Back
Top Bottom