Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 412
Mwenyekiti wa UVCCM taifa, amesema serikali tatu hazitekelezi kwa kuwa zina gharama na zitavunja muungano. Amependekeza muundo wa serikali mbili uliopo uendelee.
My take:
1.Kwa nini tung'ang'anie serikali mbili ambazo zimeivunja serikali ya Tanganyika.
2. Kama tupo fair, kwa nini tusiwe na serikali moja ambayo itaimarisha muungano na una gharama nafuu kuiendesha...!
My take:
1.Kwa nini tung'ang'anie serikali mbili ambazo zimeivunja serikali ya Tanganyika.
2. Kama tupo fair, kwa nini tusiwe na serikali moja ambayo itaimarisha muungano na una gharama nafuu kuiendesha...!