Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sisi tukiwa kama walipa kodi, tunapaswa kujua gharama za mazungumzo na jinsi kila upande ulivyochangia pamoja na gharama iliyotumika kugharamia kamati 2 za Rais kuhusu makinikia.
Ni hayo tu.
Alafu najiuliza sijui tutaruhusu makinikia ya matrilioni kama tulivyoambiwa na ile kamati ya kwanza ya Prof. Mruma yaende kwa malipo ya bilioni hizo zinazokaribia 700?
Ni hayo tu.
Alafu najiuliza sijui tutaruhusu makinikia ya matrilioni kama tulivyoambiwa na ile kamati ya kwanza ya Prof. Mruma yaende kwa malipo ya bilioni hizo zinazokaribia 700?