Serikali toeni hadharani gharama za mazungumzo na gharama za kugharamia uchunguzi uliofanywa na kamati 2 za Rais

Serikali toeni hadharani gharama za mazungumzo na gharama za kugharamia uchunguzi uliofanywa na kamati 2 za Rais

Mbona wakiuliza garama za matibabu ya lisu mnatoa matusi

Leo mnataka garama za watu mnao wapinga hivi inakuja kweli

Swala la garama sio tija maana je mlicho yegemea kitokee kimetokea?

Acheni kuhamisha magoli
garama = gharama

Ujinga ni mtaji wa ccm
 
Back
Top Bottom