BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Unataka Watanzania wanyamaze ili iweje?
kuna watu hawaishiwi maneno, du!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu hawaishiwi maneno, du!!!
garama = gharamaMbona wakiuliza garama za matibabu ya lisu mnatoa matusi
Leo mnataka garama za watu mnao wapinga hivi inakuja kweli
Swala la garama sio tija maana je mlicho yegemea kitokee kimetokea?
Acheni kuhamisha magoli
Chadema mtaji wake ninigarama = gharama
Ujinga ni mtaji wa ccm
Matukio,kulopoka na wasomi mambumbumbuChadema mtaji wake nini
Unataka Watanzania wanyamaze ili iweje?
....Na were tusaidie kujua ruzuku ya chama cha makanikiaKwani chadema wanapewa ruzuku sh ngapi, kama unajua nambie maana hizo pia ni kodi zetu.
kwa hiyo kuropoka ndo utamaduni wenu? waabudu MIGA