realleonia
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 366
- 138
Serikali ya Naijeria imethubutu kwa kutoa tamko kwamba wanakwenda kutoa ruhusa kwa makampuni ya vizimbuzi nchini humo kuwa na haki ya kumili ki maudhui ya urushaji Epl na Uefa na si DStv pekee Kama ilivyo sasa.Na sisi iwe hivyo tumepigwa vya kutosha jamani .
Sasa hivi DStv wamepunguza Bei baada ya Kampuni ya kifansa (Canal sport)kuingia kimya kimya na kumpa wakati mgumu huyu DStv yapo makampuni mengi yanapenda yarushe mipira bure lakini wanapata upinzani kutoka DStv kwani ndo mwenye haki ukanda huu.Kibaya anacho fanya DStv ni kuzuia Kampuni nyingine kupata haki hiyo muda umefika wa kuwapa haki wazawa.
Sasa hivi DStv wamepunguza Bei baada ya Kampuni ya kifansa (Canal sport)kuingia kimya kimya na kumpa wakati mgumu huyu DStv yapo makampuni mengi yanapenda yarushe mipira bure lakini wanapata upinzani kutoka DStv kwani ndo mwenye haki ukanda huu.Kibaya anacho fanya DStv ni kuzuia Kampuni nyingine kupata haki hiyo muda umefika wa kuwapa haki wazawa.