Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Polisi mmetoa tangazo la kufunga barabara za mjini sasa swali langu je shughuli za kikazi zitasimama?
kuna Wanafunzi wanasoma mjini huko je na wenyewe waje shule au wakae nyumbani? wekeni wazi utaratibu wenu tujue moja!
suala la kumuachia Murilo pekeyake aongelee suala la ugeni huu anaweza kuleta shida kwa kuwa anaweza kuongelea kipolisi ila akashindwa kujua mambo mengi nje ya kipolisi! watu wa protocol na msemaji wa serikali uje utoe ufafanuzi
NASISITIZA tena je wanafunzi itakuwaje!? ukizingatia akina kayumba wanazagaa sana mjini na misafara kila dakika hamuoni mtagonga watoto wetu!? toeni tamko wapumzike nyumbani hasa wa Primary school.
kuna Wanafunzi wanasoma mjini huko je na wenyewe waje shule au wakae nyumbani? wekeni wazi utaratibu wenu tujue moja!
suala la kumuachia Murilo pekeyake aongelee suala la ugeni huu anaweza kuleta shida kwa kuwa anaweza kuongelea kipolisi ila akashindwa kujua mambo mengi nje ya kipolisi! watu wa protocol na msemaji wa serikali uje utoe ufafanuzi
NASISITIZA tena je wanafunzi itakuwaje!? ukizingatia akina kayumba wanazagaa sana mjini na misafara kila dakika hamuoni mtagonga watoto wetu!? toeni tamko wapumzike nyumbani hasa wa Primary school.