Serikali tupieni macho usafiri wa Kamanga Ferry Mwanza

Serikali tupieni macho usafiri wa Kamanga Ferry Mwanza

otembei

New Member
Joined
Sep 19, 2022
Posts
3
Reaction score
0
Wizara inayoshughulikia vivuko ndani ya ziwa victoria na Serikali mkoani Mwanza tunaomba mtupie macho wananchi tutakufa.

Hali ya bandari siyo rafiki kwa usafirishaji.

Kwa wasafiri wa kivuko cha KAMANAGA FERRY kutoka Mwanza Kamanga na Sengerema tunatabika sana hiloeneo ni barabarani watoto wanagongwa sana,mizigo yetu inaibiwa hasa na hakuna hatua inayochukuliwa na viongozi wa vivuko vinajazwa sana na abiria wanachanaganyika na magari upepe wa sasa ni hatali
IMG_0449.JPG
IMG_0454.JPG
 
Tatizo la viongozi wetu mara ya kwanza nilisika ferry zote zitoke hapo lakini mkombozi akakimbia yeye akapenyeza pesa kwa wakuu wetu ndio maana yupo na wanaona yanayoendelea na hakuna hatua inayochukuliwa
 
Back
Top Bottom