Serikali: Ugonjwa ulioambukiza watu 8 na kuua 5 Mkoani Kagera ni Marburg

Serikali: Ugonjwa ulioambukiza watu 8 na kuua 5 Mkoani Kagera ni Marburg

Dude Hilo Hapo Wamepinda Ila Ni Ule Wa Kutoka Damu Tundu Lolote, Twafaa
 
Dah Mungu tuepushie maana wasafiri kila siku wanatoka bukoba to dar na to other places places
 
Waziri wa Afya ametaja ugonjwa ulioua watu 5 huko Bukoba kuwa ni Marbug disease ambao ni jamii ya Ebola...
1679421254856.jpeg
 
Mungu asaidie jaman naile interaction ya watu kutoka bukoba.na inch yetu ii mamb ya emergence yalivyo ovyo..
 
Bukoba iwekwe Karantini kwanza,tukileta ujinga wa awamu ile huu ugonjwa utasafisha wengi bila mchezo,Wenzetu Uganda na DRC walishakuwa na uzoefu nao.
 
Mbona uzi wako wa kwanza waliufuta?
Uzi wangu wa kwanza nilikuwa nimefurahishwa na uwazi wa Wizara ya Afya ya awamu ya 6 katika kutangaza Gonjwa hili, kama ingelikuwa enzi za Shetani huenda tungeambiwa tuseme "changamoto ya kutoka damu na kuzimia"😀
 
Niliandka humu kuwa dalili hizo ni kama za ebola, majitu humu, sukuma gang iliyopotea ikatoa makamasi kuwa naleta taharuki! Marbug ni jamii ya ebola... severity, mortality rate havipishani sana hata kidogo
Na inawezekana imesemwa hivyo kupunguza ukali wa maneno,maana ukisema ni ebola direct tiyari ni taharuki
 
MKOA WA KAGERA UNA MKOSI GANI?KILA JANGA LINAANZIA HUKO
1UKIMWI - Kagera
2.Huo ugonjwa Mpya-Kagera
3.Katerero-Kagera
aisee mbona balaa
 
hivi huu mkoa si tuwagawie Waganda uwe sehemu ya Uganda na sio Tanzania ?

mbona huo Mkoa una mabalaa sana shida ni nini ?
 
Marbug, Ebola na Anthrax( kimeta) ni ukoo mmoja.
Mkuu anthrax sio ukoo sawa na Marburg,. Anthrax ni bacteria infection, Marburg ni virus infection, ukoo wa Marburg( hemorrhagic diseases) ni Ebola (yes), degue, chikungunya nk,
 
Wametumia Murbug kupunguza ukali tu ila hiyo ni typically Ebola, watu wa afya mtakao enda huko jiongezeni.
 
Mkuu anthrax sio ukoo sawa na Marburg,. Anthrax ni bacteria infection, Marburg ni virus infection, ukoo wa Marburg( hemorrhagic diseases) ni Ebola (yes), degue, chikungunya nk,
Sawa sawa
 
Back
Top Bottom