Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni wataalam wa "habari za hapa na pale!"TCRA ikunjue makucha!the citizen waliandika Tanesco
watauza hisa ,wizara ikakanusha.
hii ya bandari ya bagamoyo pia wizara wamekanusha.
hili si gazeti la kuliamini tena.
eepa ilikanushwa hivi hivi,mbslawa si kapi la awamu iliyopita!makanusho ndio ilikuwa order of the day(spoken like pasco) kwa serikali ya m.kwere.Kumbe ni wataalam wa "habari za hapa na pale!"TCRA ikunjue makucha!
Miaka sabaWachina wataisimamia kwa miaka mingapi vile kabla ya kutukabidhi?
Miaka saba gesi ya msimbati.Miaka saba
thubutu!! 35--50.Miaka saba
chadema wanahusikaje na habarii hii mkuu?Ngoja chadema waje na uharo wao tena
Sio CHADEMA tu, wapo pia mashabiki wa Magufuri ambao wao kila kitachomuhusisha JPM lazima waki-support in favor of him... Binafsi nam-support Magu lakini katika hili jana nikasema HAPANA, this's mistake. Tukakashifiwa sana na watu toka pande zote mbili...Ngoja chadema waje na uharo wao tena
Eeenh haya mambo ya ngoswethubutu!! 35--50.
Niliskia vibaya mkuu kuna mdau kasema 35-50Miaka saba gesi ya msimbati.
Citizen siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku kama Mwanahalisi na MAWIO pamoja na Tanzania Daima.Hii ni kwa mujibu wa Prof. Mbalawa, kasema gaazeti la the citizen ni limeandika uwongo.
Chanzo: TBC habari
Mambo yako hivyo mkuu.Niliskia vibaya mkuu kuna mdau kasema 35-50