Serikali: Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uko palepale, gazeti lilipotosha

Serikali: Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uko palepale, gazeti lilipotosha

the citizen waliandika Tanesco
watauza hisa ,wizara ikakanusha.
hii ya bandari ya bagamoyo pia wizara wamekanusha.
hili si gazeti la kuliamini tena.
Kumbe ni wataalam wa "habari za hapa na pale!"TCRA ikunjue makucha!
 
mk.were plays magu like a puppet on the string,he will never say no to msoga!!
 
Kumbe ni wataalam wa "habari za hapa na pale!"TCRA ikunjue makucha!
eepa ilikanushwa hivi hivi,mbslawa si kapi la awamu iliyopita!makanusho ndio ilikuwa order of the day(spoken like pasco) kwa serikali ya m.kwere.
 
MTWARA PANA KINA KIREFU KIASILI,
PATARUHUSU BAADHI YA MELI KUBWA AMBAZO ZITASHINDWA KU- DOCK DAR ES SALAAM/
NI VEMA HATA TUKAINGIA UBIA NA NCHI ZENYE UZOEFU KAMA HOLLAND,SINGAPORE UBIA WA 50/50
ii
 
Basi nyumba za Kurasini zisibomolewe tena kwani tayari tutakuwa na Bandari kubwa sehemu nyingine
 
Haiwezi kuwa ni uwongo The citizen si ndio ndugu wa mwanchi? Hata mwananchi waliandika habari ilakanushwa
 
Ngoja chadema waje na uharo wao tena
Sio CHADEMA tu, wapo pia mashabiki wa Magufuri ambao wao kila kitachomuhusisha JPM lazima waki-support in favor of him... Binafsi nam-support Magu lakini katika hili jana nikasema HAPANA, this's mistake. Tukakashifiwa sana na watu toka pande zote mbili...
 
Hii ni kwa mujibu wa Prof. Mbalawa, kasema gaazeti la the citizen ni limeandika uwongo.

Chanzo: TBC habari
Citizen siku hizi limeishakuwa gazeti la udaku kama Mwanahalisi na MAWIO pamoja na Tanzania Daima.
 
Hii ni miongoni mwa habar mbaya sana kwa vijana wa ufipa, huwa nawahurumia sana wanavyojidanganya kuwatenganisha magu na jk! Wanatamani kila alichokianzisha jk kipingwe na magu
 
Hamna kitu nachochukia kama kuwapa uongozi ma profesa..
Ni wapuuzi sana kwenye swala la maamuzi..
Yaani wao sikuzote wanachaguaga upande unaopingwa na wengi kwasababu wanakuwa wanajiamini na wanapenda kutetea wanachoamini..

Sasa huyu profesa kaona jana nchi imefurahi kwa serikali kuchukua hatua hiyo yeye kaja kupinga leo..wanapenda sana kujiona wapo tofauti na wengine na wao ni special..
 
Back
Top Bottom