Serikali: Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uko palepale, gazeti lilipotosha

Serikali: Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo uko palepale, gazeti lilipotosha

Magazeti mengine ya kijinga sana sijui wanafanya hivyo kwa maslahi ya nani ndiyo maana fenela alikuwa anawapiga pini.

Sasa ndio mnamkumbuka yule mama wa twende KILIONI; she was a good worker for your party lakini ndio kama kawaida yenu mmemtupa kama kondom iliyotumika!!
 
Niliandika jana kuwa sisemi mengi mpaka serikali i clarify.

Walionibeza umewashuka shu.
 
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, unatarajiwa kuanza mwezi Julai mwaka huu. Pia, Profesa Mbarawa alisema hadi Desemba mwaka jana, jumla ya wananchi 2,183 sawa na asilimia 98.69 wamelipwa fidia ya Sh bilioni 45.65 ili kupisha ujenzi wa bandari hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Mbarawa alisema ifikapo Machi mwaka huu, majadiliano ya kiufundi na kibiashara, yatakuwa yamekamilika. Alisema Januari 8, mwaka huu kuna gazeti moja la kila siku (si HabariLeo), liliandika ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo utasubiri, jambo ambalo si kweli.

“Napenda kuwataarifu kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hausubiri kukamilika kwa uongezaji wa kina cha maji katika bandari ya Dar es Salaam na uboreshaji wa bandari ya Mtwara, kama ilivyoandikwa katika gazeti hilo. Napenda kuwaarifu kwamba habari hiyo siyo sahihi na imepotosha umma,” alisema.

Jiwe la msingi Profesa Mbarawa alisema Serikali ya China, Serikali ya Oman na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zilitia saini ya makubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo mbele ya Rais mstaafu, Jakaya Kikwete Oktoba 16, mwaka jana, siku ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari hiyo.

Alisema mpaka sasa kikosi kazi maalumu cha nchi hizo tatu, kipo katika hatua mbalimbali za kuandaa mikataba ya kiufundi na kibiashara kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo. Ujenzi wa bandari hiyo utagharimu Sh trilioni 21.5.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Rais Kikwete alisema ujenzi huo utakapokamilika, utakuwa ni mradi mkubwa utakaoinua uchumi wa nchi na kuongeza uwekezaji kwenye sekta nyingine. Aliwataka watanzania kuwekeza katika viwanda na sekta za huduma.

Aidha, aliwataka Watanzania kujiendeleza kielimu na mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kupata ajira kupitia mradi huo. Alisisitiza kuwa hilo litawezekana ikiwa wananchi watadumisha amani na utulivu.

Aliwataka wananchi wa Bagamoyo kujenga ushirikiano na wawekezaji hao ili mradi huo ukamilike kwa wakati na ulete manufaa kwao na taifa. Mradi huo utakapokamilika utakuwa na uwezo kutoa tani 600,000 za shehena ya makontena 1,000 na pia utatoa ajira kwa watu zaidi ya 1,000.
 
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, unatarajiwa kuanza mwezi Julai mwaka huu. Pia, Profesa Mbarawa alisema hadi Desemba mwaka jana, jumla ya wananchi 2,183 sawa na asilimia 98.69 wamelipwa fidia ya Sh bilioni 45.65 ili kupisha ujenzi wa bandari hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Mbarawa alisema ifikapo Machi mwaka huu, majadiliano ya kiufundi na kibiashara, yatakuwa yamekamilika. Alisema Januari 8, mwaka huu kuna gazeti moja la kila siku (si HabariLeo), liliandika ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo utasubiri, jambo ambalo si kweli.

“Napenda kuwataarifu kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hausubiri kukamilika kwa uongezaji wa kina cha maji katika bandari ya Dar es Salaam na uboreshaji wa bandari ya Mtwara, kama ilivyoandikwa katika gazeti hilo. Napenda kuwaarifu kwamba habari hiyo siyo sahihi na imepotosha umma,” alisema.

Jiwe la msingi Profesa Mbarawa alisema Serikali ya China, Serikali ya Oman na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zilitia saini ya makubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo mbele ya Rais mstaafu, Jakaya Kikwete Oktoba 16, mwaka jana, siku ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari hiyo.

Alisema mpaka sasa kikosi kazi maalumu cha nchi hizo tatu, kipo katika hatua mbalimbali za kuandaa mikataba ya kiufundi na kibiashara kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo. Ujenzi wa bandari hiyo utagharimu Sh trilioni 21.5.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Rais Kikwete alisema ujenzi huo utakapokamilika, utakuwa ni mradi mkubwa utakaoinua uchumi wa nchi na kuongeza uwekezaji kwenye sekta nyingine. Aliwataka watanzania kuwekeza katika viwanda na sekta za huduma.

Aidha, aliwataka Watanzania kujiendeleza kielimu na mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kupata ajira kupitia mradi huo. Alisisitiza kuwa hilo litawezekana ikiwa wananchi watadumisha amani na utulivu.

Aliwataka wananchi wa Bagamoyo kujenga ushirikiano na wawekezaji hao ili mradi huo ukamilike kwa wakati na ulete manufaa kwao na taifa. Mradi huo utakapokamilika utakuwa na uwezo kutoa tani 600,000 za shehena ya makontena 1,000 na pia utatoa ajira kwa watu zaidi ya 1,000.

Kuwalipa wananchi fidia ni nusu shari na haitulazimishi kuingia katika shari kamili eti kwa kuwa wananchi walilipwa. Waachwe wananchi waishi walikoenda kuishi, eneo hilo libadilishiwe matumizi nje ya ujenzi wa bandari hasara ya kifamilia. Linaweza kutumika kwa maswala mengine muhimu na si lazima bandari.

Uwekaji wa jiwe na misingi siyo kifungo cha kutulazimisha kutekeleza miradi fake. Matumizi ya fedha nyingi yalifanywa na kikwte pasipokuwa na tija kwa taifa. Sherehe za uzinduzi zinaweza kuchukuliwa kama moja ya hasara ambazo jamaa kaliingizia taifa ambazo ni zaidi ya huo ufunguzi.

Sitisha hayo maandalizi ya mikataba mara moja n ahuna haja ya kuendeleza jambo hili ovu lililo dhahiri eit kwa kuwa wtaalamu wanaandaa mikataba. Maandalizi ya mikataba hayana gharama kama utekelezaji wa mikataba au baadaya ya usainiwaji mikataba hiyo.

Kikweete sina lugha ya kumtaja. MAMBO YOTE ALIYOYAFANYA MBIO MBIO IKIWENO HIYO MIKATABA NA TEUZI ZA SIKU ZA UCHAGUZI NA BAADA, NI HILA KUBWA NA HAKUNA AKILI INAYOWEZA KUYABEBELEA NA KUYAENDELEZA ISIPOKUWA AKILI ISIYOFANYA KAZI TU. AKILI ILIYO KWENYE UBONGO UNAOJAZA NAFASI KWENYE FUVU LA KICHWA.

VINGINEVYO HII MAMBO YA MIRADI NA MIKATABA YA KIKWTE NI TATIZO KUBWA KWA TANZANIA.
 
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amesisitiza kwamba ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, unatarajiwa kuanza mwezi Julai mwaka huu. Pia, Profesa Mbarawa alisema hadi Desemba mwaka jana, jumla ya wananchi 2,183 sawa na asilimia 98.69 wamelipwa fidia ya Sh bilioni 45.65 ili kupisha ujenzi wa bandari hiyo.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Mbarawa alisema ifikapo Machi mwaka huu, majadiliano ya kiufundi na kibiashara, yatakuwa yamekamilika. Alisema Januari 8, mwaka huu kuna gazeti moja la kila siku (si HabariLeo), liliandika ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo utasubiri, jambo ambalo si kweli.

“Napenda kuwataarifu kuwa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hausubiri kukamilika kwa uongezaji wa kina cha maji katika bandari ya Dar es Salaam na uboreshaji wa bandari ya Mtwara, kama ilivyoandikwa katika gazeti hilo. Napenda kuwaarifu kwamba habari hiyo siyo sahihi na imepotosha umma,” alisema.

Jiwe la msingi Profesa Mbarawa alisema Serikali ya China, Serikali ya Oman na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, zilitia saini ya makubaliano ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo mbele ya Rais mstaafu, Jakaya Kikwete Oktoba 16, mwaka jana, siku ya uzinduzi wa ujenzi wa bandari hiyo.

Alisema mpaka sasa kikosi kazi maalumu cha nchi hizo tatu, kipo katika hatua mbalimbali za kuandaa mikataba ya kiufundi na kibiashara kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo. Ujenzi wa bandari hiyo utagharimu Sh trilioni 21.5.

Akizungumza katika uzinduzi huo, Rais Kikwete alisema ujenzi huo utakapokamilika, utakuwa ni mradi mkubwa utakaoinua uchumi wa nchi na kuongeza uwekezaji kwenye sekta nyingine. Aliwataka watanzania kuwekeza katika viwanda na sekta za huduma.

Aidha, aliwataka Watanzania kujiendeleza kielimu na mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kupata ajira kupitia mradi huo. Alisisitiza kuwa hilo litawezekana ikiwa wananchi watadumisha amani na utulivu.

Aliwataka wananchi wa Bagamoyo kujenga ushirikiano na wawekezaji hao ili mradi huo ukamilike kwa wakati na ulete manufaa kwao na taifa. Mradi huo utakapokamilika utakuwa na uwezo kutoa tani 600,000 za shehena ya makontena 1,000 na pia utatoa ajira kwa watu zaidi ya 1,000.

Kama mikataba ilishasainiwa, majadiliano ya kiufindi na biashara ni ya nini? Looks like we are looking for a better deal. Wanasheria irrespective of their political inclinations wakae pamoja kuona jinsi gani tunaweza kuachana na hii mikataba bila kuwa sued.
 
Kabisa Mkuu Deo Warongo Sana Hawa, Na Watu Wakawa Wanashabikia Ajabu Sana.
 
Ngumu sana kuamini wanasiasa wanachokisema.
 
Kweli ujenzi upo pale pale lakini hii ni baada ya kumalizika kwa maboresho ya nguvu za Bandari za Mtwata,Tanga na Dar.
Mkuu bandari ya bagamoyo hela yake itatoka chima na oman na ipo tayari,maboresho yatatoka kwenye vyanzo vingine
 
Mk
BANDARI HIYO KWA SASA HAINA MANUFAA YOYOTE / ZIIMARISHWE BANDARI ZA DAR NA MTWARA KWA KUWEKEWA ZANA ZA KISASA / MODERN FACILITES ZITAKAZOWEZA KU SPEEDUP MIZIGO 10×
Mkuu mtwara hakuna mzigo zaidi ya korosho.kwa export ni miundo mbimu ya gesi na petroli tu.bandari ya bagamoyo itapunguza msongamano dar.
 
Mk
Mkuu mtwara hakuna mzigo zaidi ya korosho.kwa export ni miundo mbimu ya gesi na petroli tu.bandari ya bagamoyo itapunguza msongamano dar.
.....ni suala ya kuzielekeza tu!
mazoea yana tabu yake!
 
Ujenzi WA hii bandari Ni mkopo au msaada?

tatizo la hapa Tanzania sio ukubwa au udogo WA bandari, tatizo Ni uwajibikaji mdogo/uzembe/tamaa/wizi wa wafanyakazi na taratibu za kirasimu .
hata iwe kubwa vipi kama matatizo ni yale yale bado mombasa , beira nk watakuwa juu.
naambiwa bandari ya Dar haifanyi kazi masaa 24.
naambiwa meli nzima iliwahi kuibiwa bandarini dar
hii bandari ya Dar ukiwaondoa wafanyakazi wabongo wote wakawekwa wachina ndani siku 4 utaona mabadiliko makubwa sana.
tatizo kazi nyingi zimekuwa za kujuana na kupendeleana mtu anakuwa na jeuri sababu kuna mtu anamkinga.
 
Kuwalipa wananchi fidia ni nusu shari na haitulazimishi kuingia katika shari kamili eti kwa kuwa wananchi walilipwa. Waachwe wananchi waishi walikoenda kuishi, eneo hilo libadilishiwe matumizi nje ya ujenzi wa bandari hasara ya kifamilia. Linaweza kutumika kwa maswala mengine muhimu na si lazima bandari.

Uwekaji wa jiwe na misingi siyo kifungo cha kutulazimisha kutekeleza miradi fake. Matumizi ya fedha nyingi yalifanywa na kikwte pasipokuwa na tija kwa taifa. Sherehe za uzinduzi zinaweza kuchukuliwa kama moja ya hasara ambazo jamaa kaliingizia taifa ambazo ni zaidi ya huo ufunguzi.

Sitisha hayo maandalizi ya mikataba mara moja n ahuna haja ya kuendeleza jambo hili ovu lililo dhahiri eit kwa kuwa wtaalamu wanaandaa mikataba. Maandalizi ya mikataba hayana gharama kama utekelezaji wa mikataba au baadaya ya usainiwaji mikataba hiyo.

Kikweete sina lugha ya kumtaja. MAMBO YOTE ALIYOYAFANYA MBIO MBIO IKIWENO HIYO MIKATABA NA TEUZI ZA SIKU ZA UCHAGUZI NA BAADA, NI HILA KUBWA NA HAKUNA AKILI INAYOWEZA KUYABEBELEA NA KUYAENDELEZA ISIPOKUWA AKILI ISIYOFANYA KAZI TU. AKILI ILIYO KWENYE UBONGO UNAOJAZA NAFASI KWENYE FUVU LA KICHWA.

VINGINEVYO HII MAMBO YA MIRADI NA MIKATABA YA KIKWTE NI TATIZO KUBWA KWA TANZANIA.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
 
Niliandika jana kuwa sisemi mengi mpaka serikali i clarify.

Walionibeza umewashuka shu.
Serikali ina tabia ya kukanusha mambo ambayo inaona imewahiwa. Citizen sio wendawazimu kutoa habari nzito hivyo kwa umma wa watu. Hebu basi serikali iwashtaki kwa upoteshaji huo mkubwa.
 

Attachments

  • IMG-20190510-WA0132.jpg
    IMG-20190510-WA0132.jpg
    140.3 KB · Views: 11
Back
Top Bottom