raamar
JF-Expert Member
- Aug 17, 2014
- 252
- 23
Jaman Leo nimeenda NMB kutoa vihela vyangu vya matumizi,khaaa Walimu A/c zao cjui zimekuaje hazitoi hela,hata ukiingia ndani mambo Yale Yale, hv nyinyi Serikali mbna hamna uruma na hawa watu waliotusomesha sisi na nyie?
mbna nyinyi A/c zenu hazisumbui?,basi mngetoa taharifa jamani,wahurumieni hawa watu,wengine wametoka mbali huko buselesele,aaah!!
Napenda ku
mbna nyinyi A/c zenu hazisumbui?,basi mngetoa taharifa jamani,wahurumieni hawa watu,wengine wametoka mbali huko buselesele,aaah!!
Napenda ku