mkuu hujui kama kuna ndege za mizigo zenye uwezo wa kubeba mpaka tani 500?Taarifa umeipata wapi ndugu?
Na mahindi ya Zambia si lazima yapitie Tanzania ndipo yaende Kenya?
Iwapo na sisi tukizuia yasipite itakuwaje?
Nadhani umefika wakati wawakilishi wa mataifa haya wakae na kuzungumza. Hizi "stunts" hazitamfaidisha yeyote yule.
Nani apotezee muda kuzungumza na mtu ambaye unamuona ana uwezo mdogo wa kufikiriTaarifa umeipata wapi ndugu?
Na mahindi ya Zambia si lazima yapitie Tanzania ndipo yaende Kenya?
Iwapo na sisi tukizuia yasipite itakuwaje?
Nadhani umefika wakati wawakilishi wa mataifa haya wakae na kuzungumza. Hizi "stunts" hazitamfaidisha yeyote yule.
Wanayo ??Antonov An225 inabeba tani 640 na inauwezo wa kuimeza boeing 737
nawasubiringoja waje
unasema tu kwa kua haufanyi biasharaNa sisi pia hatutaki kuuza nje mahindi yetu na ikibid tutapeleka Kongo
zambia kuna settlers wanaozalisha mahindi mengi na yanaubora mkubwa hao ni wale mugabe aliowafukuza zimbabwe walienda zambia kuendelea na shughuli zaoKwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia
hakikashida ya viongozi kutokuwa na busara