Zingatia pendekezo la mwisho hilo swali la tatu halihitaji jibu ndugu....Kwa hiyo sisi kazi yetu itakuwa ni kugombana na neighbors tuu? Ndiyo uchumi wa viwanda huo?
Usiwe na narrow mind. Hawashindwi kutuacha na kwenda Southern Sudan na Somali, pote huko wameshapenetrate zaidi yetu, these guys are Capitalist sio sisi ambao Hatujitambui hadi leo. Hayo Masoko Mawili yanaweza kuwatosha Sana Wakenya na kuwa substitute ya Tanzania licha ya political instabilities!Labda watumie njia hiyo, and of course wana shirika kubwa la ndege ingawa is it economically viable kusafirisha low value crops kama mahindi kwa ndege?
Labda tu niseme kwamba, katika biashara baina ya nchi hizi mbili kwa maana ya export-import, Kenya inafaidika zaidi kwa kuingiza nchini bidhaa zenye thamani kubwa zaidi kuliko sisi - nafikiri ni almost two times ya kiasi tunachopata kwa kupeleka bidhaa kwao.
Kwa hiyo utaona ni jinsi gani wanavyotegemea sana soko letu and they don't have tu mess it up sababu na sisi kwa falsafa na hulka ya kiongozi huyu wa sasa tunaweza kuzuia bidhaa zote toka Kenya. Ni bidhaa ambazo tuna uwezo wa kuzalisha kama chumvi ya kaysalt(ndio inayotamba nchini kwa sasa), sabuni, plastic-wares, dairy products etc. In fact, talking about trade, they depend more on us than we depend on them.
Kenya ni karibu zaidi.usafirishaji wake hautagharimu na mkulima atanufaika.Kwani lazima yauzwe Kenya, hapo kwa wananchi wa Sumbawanga, Mbeya, Songwe na Ruvuma watayauza Zambia na Kenya watayanunua wakijua yametokea Zambia
Kuhusu cost inapunguwa pia sababu mahindi husafirishwa in bulk so wanaweza safirisha kwa train which is cheap mode of transport hadi Msumbiji kisha wakapakia kweli meli port of beira which is also cheap (economies of scale) mzigo utapelekwa Mombasa port then sgr ya Kenya itayachukua hadi interior, umeona hapo ni train na meli tu zimefanya kazi ya kubeba mzigo mwingi kwa gharama nafuu mwisho multmodal itaishia huko Nairobi, Kisumu etc hadi kwa mlaji wa mwishoNi kweli umetoa logistics options lakini ingependeza kama pia ungetoa na uchambuzi wa gharama zake ili kupata ulinganifu wa kitaarifa.
Sidhani kama uko sahihi ndugu, wanatutegemea sana kwa soko la bidhaa zao. Mazungumzo na uimarishaji wa diplomasia ni muhimu baina yetu. Hilo la usafiri nimeshalijibu sana.Kwa hiyo hujui kuwa kuna aina mbalimbali za usafiri...Kenya wameshatuacha mbali hatuwezi kutunishiana nao msuli
Huko ndo usiseme, nilikuwa Karatu juzi watu wako taabani mbaazi kilo tsh 300 hamna wa kununuaItabidi yauzwe cheaper zaidi kuliko ambavyo wangeuza moja kwa moja Kenya. Zambia pia wanaweza kuhitaji kulinda soko lao, hivyo wasinunue mahindi ya Tz! Kwani suala la Mbaazi na Choroko na Dengu limekuwaje? Tuache Akili za Kiburi, hakitusaidii!
Wasingekuwa na njaa wasingeivuka Tz wakaenda Zambia. Hapo ndo ujue Wana njaa haswa, otherwise they could bow to us wakanunua kwetu! Sisi Sasa Labda tuloge Zambia nako kuwe na Ukame na Kenya iwe hivyo na Uganda ili wakose Options!Hawajapata Njaaaa hao Kenya.
Njaa ikiwakolea watakuja kulialia "
Kenyatta, utamsikia akisema haya, "Wajameni, sisi ni majarani zenyu, mutupee chakula na hizo mahindi zenyu!!!
mkuu hujui kama kuna ndege za mizigo zenye uwezo wa kubeba mpaka tani 500?
Ndo hivyo Mkuu! Adhma ya kutufanya Tuishi Kama Mashetani naona inatekelezwa Vyema!Huko ndo usiseme, nilikuwa Karatu juzi watu wako taabani mbaazi kilo tsh 300 hamna wa kununua
Hivi nani vile alipiga kelele nchi hii ina njaa? mpaka akajitia eti ataawagizia chakula wananchi cjui yeye akiwa kama nani? je hukuona busara ilitumika kuzuia uuzwaji wa mazao ili kusikiliza hayo malalamiko yaliyoshikiwa bango mpk na wale mamluki wa kijerumani isije kuonekana dharau kuwa mna njaa then mnauza mazao nje! sasa baada ya mahindi na mazao mengine kuzidi na kukosa soko leo zinaibuka hoja za kuunganisha matukio sijui mahindi yamekataliwa kenya kwani ni kenya tu ndio wannaopaswa kununua hayo mahindi? au kuna jambo unataka kulisema unasingizia mahindiwakuu.
kama kawaida serikali ilikurupuka kukataza mazao kuuzwa nje, mkumbuke soko kubwa la mahindi ya Tanzania lipo kenya,
Serikali wanachekesha mno eti walizuia mahindi kutoka nje ndio wakaanza utafiti wamegundua hakuna tatizo la njaa hivo mahindi yauzwe nje.
wakati zambia wana mahindi bora kuliko ya kwetu na bei ni ndogo sasa mnatarajia mkulima anufaike au mnamtia umaskini.
Tatizo la watanzania kama wewe huwa mnakuwa proud na vitu vyenu mpaka mnahisi dunia nzima ni nyie tu mmebarikiwa and mnahisi nchi zote zinawategemea nyinyi...dunia ya sahivi Luna kila aina ya option...ukikataa wewe kufanya biashara na mtu fulani yupo mwingine ambaye atafanya...Kenya washatuacha mbali and hats bila sisi wanaweza ku survive tuSidhani kama uko sahihi ndugu, wanatutegemea sana kwa soko la bidhaa zao. Mazungumzo na uimarishaji wa diplomasia ni muhimu baina yetu. Hilo la usafiri nimeshalijibu sana.
Narrow minded?Usiwe na narrow mind. Hawashindwi kutuacha na kwenda Southern Sudan na Somali, pote huko wameshapenetrate zaidi yetu, these guys are Capitalist sio sisi ambao Hatujitambui hadi leo. Hayo Masoko Mawili yanaweza kuwatosha Sana Wakenya na kuwa substitute ya Tanzania licha ya political instabilities!
Ni kweli ndugu na itakuwa vizuri kama pendekezo nililotoa hapo mwishoni litafanyiwa kazi. Lakini ni sababu zipi zilitufanya tujitoe COMESA?
Umeandika suala la muhimu ndugu lakini kumbuka hata sisi tuna tazara na Dar es salaam port ambayo imeanzia kwao na nafikiri ni fupi na cheap kuliko kupitia Beira port.Kuhusu cost inapunguwa pia sababu mahindi husafirishwa in bulk so wanaweza safirisha kwa train which is cheap mode of transport hadi Msumbiji kisha wakapakia kweli meli port of beira which is also cheap (economies of scale) mzigo utapelekwa Mombasa port then sgr ya Kenya itayachukua hadi interior, umeona hapo ni train na meli tu zimefanya kazi ya kubeba mzigo mwingi kwa gharama nafuu mwisho multmodal itaishia huko Nairobi, Kisumu etc hadi kwa mlaji wa mwisho
Wata-survive lakini lazima wayumbe kidogo kiuchumi sisi bado ni soko kubwa sana kwao.Tatizo la watanzania kama wewe huwa mnakuwa proud na vitu vyenu mpaka mnahisi dunia nzima ni nyie tu mmebarikiwa and mnahisi nchi zote zinawategemea nyinyi...dunia ya sahivi Luna kila aina ya option...ukikataa wewe kufanya biashara na mtu fulani yupo mwingine ambaye atafanya...Kenya washatuacha mbali and hats bila sisi wanaweza ku survive tu
Hawawezi kuyumba kama wewe unavyofikiria...unadhani kenya hamna wachumi wabobezi ambao washafanya evaluation kwa maamuzi wanayofanya...or wewe una akili kuliko magwiji wanaofanya mipango ya maendeleo nchini kenyaWata-survive lakini lazima wayumbe kidogo kiuchumi sisi bado ni soko kubwa sana kwao.
Na kuhusu resources wala sisi hatujabarikiwa kiivyo kama tunavyoaminishwa. Mfano wa jirani: DRC ana untapped minerals worth $21+trillions sawa na Tsh 40+quadrillions, land bank almost two times our land bank, the mighty Congo river ambayo inaweza supply umeme sehemu kubwa ya bara la Africa, mvua za kutosha na misitu minene ya kitropiki kuliko sisi. Kwa ufupi DRC ni tajiri mkubwa wa natural resources kuliko nchi nyingi duniani.
Kwa kweli bado Kenya inatuhitaji kama soko lao la msingi na sisi pia tunaihitaji. Hivyo kuirudisha hali hii ya sasa iwe kama awali kwa kupitia mazungumzo ni muhimu kwetu site.
Nafikiri linaweza kuwa kosa hasa kwa wakati huu ambao tunasema tunataka nchi ya viwanda. Endapo kama ndoto hii itatimia basi tutahitaji masoko ya nje mengi kadiri tuwezavyo.Walidai eti tulikuwa tumejiunga kwenye hizo taasisi nyingi. Yaani COMESA, SADC, PTA, EAC etc
Sawa MZEE MSASAMBEGU inawezekana najibizana na mtu ambae ana umri kama wa baba yangu.Hawawezi kuyumba kama wewe unavyofikiria...unadhani kenya hamna wachumi wabobezi ambao washafanya evaluation kwa maamuzi wanayofanya...or wewe una akili kuliko magwiji wanaofanya mipango ya maendeleo nchini kenya