Yani hawa mawatu yakisha danganya, watu wakafukunyua na kujua ukweli na kuuweka hadharani lazima waweweseke. Hawapendi kuwa wakweli kila kitu kizuri wanataka figa iwe juu, sasa kwenye baya mfano yakitokea maafa wakafariki watu 8 utasikia wanasema ni wawili tu.Mbona siku inatangazwa ilisemwa ni 13,000?
Ili wanafunzi wafundishwe na nani ?Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
😂😂😂😂😂😂😂😂Halafu hiyo elfu 40 kwa siku unakula na kulala kwa baba yako!
Unamaanisha serikali iachane na kuajiri walimu, mwanao utamfundisha wewe boya.Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Hata hao 8000 sijui kama wanafika
Mzee ushawahi kufanya biashara au unatype tu maandishi...nenda kwenye field usifsnye typing tu na guessingMimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Wenda ulikua na swali zuri , ila naona umeamua kutukana, nakupa onyo Mimi sio mtu wa tusiUnamaanisha serikali iachane na kuajiri walimu, mwanao utamfundisha wewe boya.
Mkuu ,tatizo hum kila mtu akitoa ushuhuda, ataamini, watu wanatoa mbali ,au tunatoka mbaliMzee ushawahi kufanya biashara au unatype tu maandishi...nenda kwenye field usifsnye typing tu na guessing
Mbona mkapa na kikwete walikua wanaajiri wote??Mkuu ,tatizo hum kila mtu akitoa ushuhuda, ataamini, watu wanatoa mbali ,au tunatoka mbali
Umeuliza Kama nimewai fanya biashara, jibu ni ndio,
Na nafanya, kunakipindi ninacho kisema kilitokea, nilianza na nikajapata kazi bahada ya mda, ila roho ilikua imetulia kuliko Kama ningetafuta kazi nikiwa na msingo wa mawazo , ukiwa unachakarika hata Kama una kazi unakua na utulivu wa moyo,
Mfano product za walim ni nyingi je unadhani serikali inaweza ajili wote ni ngum
Sawa, lakini siyo kwa hesabu hizo na mawazo hayo.Mkuu mbona yanawezekana,
Mkuu ebu acha hesabu za kwenye Makaratasi hizi( ni sawa na hesabu za kilimo cha Tikiti au ufugaji wa kuku/sungura)Mimi niko tofauti Sana, na izo ajira, mfano iyo idadi kila mmoja angepewa m 5 na kila mmoja azirudishe ndani ya miaka mitano bila riba, ndani ya miaka mitano wangefanya mahajabu,ajira ni utumwa wa fukra, wawezeshe watu wapambane na fulsa mbali mbali.
Mtaji wa ml tano mtu hawezi kosa Cha kufanya kuweza ingiza elfu 40 kila siku hivyo
Chukua 40×30= 1.2m
1.2×12=14.4 per year
14.4m×5yrs =almost 72 m
Wakati mshahara wa ualim
Ametengeneza pesa nyingi kwa miaka mitano sidhani Kama hata 30m inafika,
Maana yake ni kuapply upya mkuu?Kutokana na ufafanuzi waliotoa makatibu wakuu kuhusu madudu ya ajira za uwalimu wameeleza kuwa bado kuna ajira 5000 zinakuja.
Walimu hao wataajiriwa hawamu hii ya bajeti 2020/2021 abayo inategemea kuisha mwezi wa sita.
Hivyo walimu tuwe na subila kuhusu hizo ajira.