Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane pekee

Mbona mkapa na kikwete walikua wanaajiri wote??
Swali gum mkuu, Sina jibu, waliokua kwenye serikali zao wanawaza tujuza, na nakubali kabisa kipindi hicho nafasi za kazi zilikuwa nyingi, KWA waliokua na uhitaji wa kufanya kazi serikalini, wengi walikua wanazikimbia kwenda secta binfsi kutokana na malipo,KWA Sasa kote kumebana,
 
Jaman c tumeambiwa ni dona kantri hii au????
 

Mkuu tatizo tunafikilia mda wote kuanza na biashara kubwa,bila kujua biashara ndogo ndo huleta mtandao wa biashara kubwa
Mfano,hivi wa kawaida Sana, hata hapo ulipo ukipata vijana wako watatu, wakukutembezea kahawa kila moja hasubui na jion akuletee elfu tano KWA siku una sh 15, KWA elfu arobain imebaki 25,je Kuna biashara ndogo ndogo ngapi za kuongoza elfu 3 na zaidi KWA siku,
Wakati wewe ukiwa upo free unakimbizana ulipoweka mtaji mkubwa ,mfano vipo vitoroli vya kubebea mizigo watu ukodi KWA elfu moja ,mpaka 1500, vipi ukiwa navyo hata 5, mbona m5 mkuu Kama umetuliza kichwa waweza ingiza hata zaidi ya iyo, miezi 6 ya kwanza ndo itasumbua, bahada ya hapo utashangaa
Sasa tatizo ni pale ukisema we ni msomi na unataka anza na biashara ya kisomi zaidi elfu 40 KWA pesa iyo upati,
 
Ajira za kweli na uhakika ziliondoka na kikwete huo ni ukweli nitausema daima hii serikali ya sasa ni wababaishaji tu ila inabidi tuipende maana ndio inayo ongoza hata tulie tupasuke hatuna namna
 
Unauza juice za matunda na matunda pia na chipsi iyo Hela unapata sema shida ni matumizi yako tu
 
Ajira haitolewi kwa faida ya aliyeajiriwa bali kwa ajili ya mwajiri.
Hii ni kanuni ya msingi kabisa.
Ajira siyo msaada, ni mkataba wa kumnufaisha mwajiri kwa kuwa mwajiriwa anahitaji.
 
walimu waliohitimu miaka mitano tuu wako zaidi ya milion 5 sasa hao 8000 watatoshea...

Yan ni bora waache kuzalisha fani hii ya watumishi walimu waliopo wanatosha kwa miaka 20 ijayo .

Wasiipoteze rasilimali watu na rasilimali muda kuwapa watu vitu wasivyovitumia kwenye soko la ajira na maisha halisi yenye ushindani katika kupata rasilimali fedha
 
Hali ni tete sana Mtaani hata makada tuko taabani,Ajira hatuna tunachekwa tu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Hali ni tete sana Mtaani hata makada tuko taabani,Ajira hatuna tunachekwa tu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana kada mtiifu
 
Great mkuu
 
Hawafik million 5
 
4⁴n7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…