Mpiga picha tena usalama wanaye wao wenyeweKwani hao wanao zisambaza hizo picha wanazitoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpiga picha tena usalama wanaye wao wenyeweKwani hao wanao zisambaza hizo picha wanazitoa wapi?
Kwasasa tupo kwenye uchifu.Embu tuelezdni tumefikia wapi sgr,busisi,nyerere dam,standi zamikoa,maded wazembe,madini,magesi,mabarabara,maflyovers,mameli,mauwanja yandege,maikulu,maviwanda,mageita nk. Mambo ya picha kusambaa hayatuletei maendeleo tafadhali
copywright ziheshimiwe serikali iko sahihi kwa hili
Huyo hajui maana ya copyrightWewe ni mpumbavu. Hujui ili copyright violations ziashibiwe nazima kuwe na usajili? Usitumie neno copyright ili kuhimiza picha kutosambaa. Wadhibiti watu na simu zao, iwe maruduku kupiga picha!
Dah ni matozo,mamuvi na mialiko ya sherehe tuu! kutembelea maskini vijijini nakutatua shidazao ni zilipendwa.Kwasasa tupo kwenye uchifu.
Kama unayo iweke hapa mkuu tufaidibila shaka ndio maana kun mkuu amelalamik humu asubuhi kwamba kuna picha mbaya za jumong mfano moja inaonesha "ma lake"
sijaziona mkuu, hakuna mtu atazileta,ishakua sooKama unayo iweke hapa mkuu tufaidi
Wanaochukua hilo tukio na kutengeneza movie ni Royal tourWewe ni mpumbavu. Hujui ili copyright violations ziashibiwe nazima kuwe na usajili? Usitumie neno copyright ili kuhimiza picha kutosambaa. Wadhibiti watu na simu zao, iwe maruduku kupiga picha!
"serikali bobezi katika uonevu".Niitukane serikali tusi gani?
Umeona wamekataza unasema walete hapa, unataka uponze wenzio?🤣Kama unayo iweke hapa mkuu tufaidi
Tunatafuta connection mkuu😅Umeona wamekataza unasema walete hapa, unataka uponze wenzio?🤣