PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Wala siyo mapenzi, hujapata fursa badoMimi navyoipenda Tanzania hv...sikani uraia wangu hata kwa dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala siyo mapenzi, hujapata fursa badoMimi navyoipenda Tanzania hv...sikani uraia wangu hata kwa dawa
Wana Lido Beach pazuri sana ila uwe una machale mda wowote panageuka
Wana soko moja linaitwa Bakaara unaweza ukaokota bomu ukafikiri nyanya
Tembea uone
Nilipita miaka ileeee
[emoji1787][emoji1787]Wana Lido Beach pazuri sana ila uwe una machale mda wowote panageuka
Wana soko moja linaitwa Bakaara unaweza ukaokota bomu ukafikiri nyanya
Tembea uone
Nilipita miaka ileeee
😃😃😃Unaukana uraia unaenda kuwa mganda?
Wala siyo mapenzi, hujapata fursa bado
Mimi naona umeandika madikodiko tu, unauliza swali, haujajibiwa umeshalalamika, haujaulizwa umeshajibu.Kwanini unapenda unachoamini wewe na wengine wawe hivyo. Fursa ipi kwa mfano. Kuna changamoto sana kuishi nje ya mahali ambapo umekuzoea na kukulia na kujiskia huru na home...
Hawana roho mbaya kama sisiNina mpango wa kuchukua Uraia Wa Angola au bostwana.
Am serious about this na ntalitimiza
Sisi Wengine Zanzibar, tumelazimishwa kuwa na uraia waTanganyika/Tanzania baada kuvamiwa na TanganyikaUnaukana uraia unaenda kuwa mganda?
Shehe habari za vuga?Sisi Wengine Zanzibar, tumelazimishwa kuwa na uraia waTanganyika/Tanzania baada kuvamiwa na Tanganyika
Sasa we jamaa unajinasibu nyumbani ni nyumbani hafu unatupigia na kijerumani humo humo na unajua wataosoma hii comment ni wabongo au ndio ili tuamini kweli uko mambele.Kwanini unapenda unachoamini wewe na wengine wawe hivyo. Fursa ipi kwa mfano. Kuna changamoto sana kuishi nje ya mahali ambapo umekuzoea na kukulia na kujiskia huru na home...
Watanzania hata wakishaingia hizo nchi kwanza hata hawajisumbui kutaka kujua ubalozi wao ulipo au balozi wao ni nani, sababu hata likitokea la kutokea hizo balozi hazijawahi kuwa na misaada sanasana watakua wanawatafuteni kuwapigeni virungu vya ooh changieni nyumbani tujenge barabara, changieni nyumbani kuna mafuriko, changieni nyumbani tukajenge shule, changieni nyumbani tukajenge hospital wakati wenyewe wakiishi maisha ya anasa na wakopewa posho kubwa na kila kitu utafikiri hawatoki hiyo nchi ombaombaHiyo idadi ni kwa walioenda kutoa taarifa kwenye balozi zetu wapo ambao hata hawana huo muda wa kutoa hizo taarifa ni wengi zaidi...
Zee la ovyoHii nchi ina ufalaa mwingi Sana, Bora kuishi majuu
Inategemea yeye binafsi ana maslai yapi huko Uganda Kuna mwingine anakana urai ili andeshe biashara za mamilioni huko Uganda na mwingine anakana uraia ili akaendelee kudeki vyoo kwa uhuru huko CanadaUnaukana uraia unaenda kuwa mganda?
Tatizo Bado unamawazo ya kijimaKwanini unapenda unachoamini wewe na wengine wawe hivyo. Fursa ipi kwa mfano. Kuna changamoto sana kuishi nje ya mahali ambapo umekuzoea na kukulia na kujiskia huru na home...