Serikali: Watanzania 66 wameukana Uraia

Serikali: Watanzania 66 wameukana Uraia

Aise uganda oman na falme za kiarabu ' big no bora ni baki tz nilime mahindi. Ila hapo namibia na usa nimepapenda sna
Unaweza kuweka sababu za wewe kusema "Big no" kwenye hizo nchi ulizo zitaja? na sababu za kupenda Namibia na US?
 
Mbona sijawekwa kwenye list soon nimetoka kuukana uraia wa Tz nipo Zambia huku
Zambia na Malawi ni kama Matawi ya Tanzania tuu ingawaje Wazambia ndio Nchi wanazingatia mno sheria za Uhamiaji na wapo serious kweli...nimeona juzi nao Wamalawi wamewakamata wageni wengi Lilongwe na kufungia biashara zao wakitaka vibali vya biashara kwa wageni na wale Warundi na Wanyarwanda wamepelekwa sehemu ya wakimbizi kazi ipo huko...
 
Nina wivu na nchi yangu hasa nikiangalia nchi zote Duniani zinavyodhibiti Raia wa kigeni katika nchi zao lakini Tanzania WAGENI wanaingia kiholela na kununua viongozi wote wananua Ardhi kupitia viongozi Wetu lakini tunachekelea wanaishi Nchini Kwa kiburi na kufanya dhuruma mbalimbali EBU WA Tanzania tuamke jamani.
Wameazimwa kwa mda siku kikinuka imekula kwao mgeni hamiliki ardhi tz mabadiliko yaanze kwenu kuwaripoti hao watu
 
Unaukana uraia wa Tanzania unaenda kuwa raia wa bukoba (Uganda)
 
Mm mwenyewe sijapata pakwenda ningekuwa nimeukana siku nyingi
 
sasa kuna wale ambao wameukana uraia bila kusema hao ndio wengiiiii balaa , subiri muda utaongea tu kuna watu wanajitia kurudirudi bongo lakini hawana mapenzi napo kabisaaaaa including Mimi. Nchi imekuwa ya machawa tu mambo hayaendi yaani balaa tupu
 
Back
Top Bottom