Katika hao, je wangapi washakufa kwa shinikizo la damu?Naibu Waziri – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe Dkt. Mary Mwanjelwa amesema watumishi wa umma 4,160 kati 15,189 walioondolewa kazini kwa kuwa na vyeti vya kughushi wamerudishwa
Dkt. Mwanjelwa amesema Serikali imechukua hatua hiyo baada ya kubainika kuwa Watumishi hao waliondolewa kimakosa