Serikali: Watumishi 4,160 walioondolewa kwa vyeti feki warudishwa

Serikali: Watumishi 4,160 walioondolewa kwa vyeti feki warudishwa

Hii ndio hasara ya serikali kukurupuka sasa hao wakienda mahakamani kudai fidia si serikali ndio itaingia hasara ..
 
yaani nilivyomuelewa ni kua wale waliokua wanakula mishahara hewa wamerudishiwa mishahara hewa yao wakiwa huko makwao na hata waliodedi, Ila sio kurudishwa kazini😲
 
Tuwekee hayo majina mkuu tofauti na hapo hizi zitakuwa sawa na porojo tu.
 
Kwamba waliotumbuliwa wameanza kurudishwa Kimya Kimya!!!!!
20190507_073519.jpeg
 
Sasa mtu kafanya kazi miaka 30, 35, 20 nk na alibakiza miezi tu astaafu, unamdhulumu na aheri yake kwa lugha ya mwizi ?!

Hao ndiyo walioifikisha Tz hapa ilipo leo. Hawakutakiwa kunyanyaswa bali wangelipwa na kukatiza mikataba yao. Mbaya zaidi Ile amri ilikuwa ya kibaguzi kwa vyombo vyetu vya ulinzi hawakuathirika !!!
 
wako weng serikalin bado wanavyet fek na hawajaondolewa! huo n uhun wa hii government ya jiwe! muda wa siasa umewadia sasa anataka kupulizia hasa wale wenye mlengo wa kiccm ndo watakao rudishwa. na ukifatilia utakuta n makada wa CCM
 
Back
Top Bottom