GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Waulizeni Serikali tafadhali waliouhairisha na siyo TFF ya Rais Bora kuwahi kutokea Wallace Karia au kuanza Kuilaumu Timu ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club sawa?Ulifutwa kwa sababu zipi na kanuni zipi?
Imbecile.Hivi maneno yanapokusumbua, je ikiwa ni vitendo? Achana nao fanya mengine ya kukuingizia kipato
Ikifika hiyo tarehe 3 msipoiona Timu ya Wananchi na Mabingwa wa Kihistoria na Timu pekee iliyochukua Kombe nje ya Tanzania nyinyi wenyewe ndio mtaenda Tifuatifua kuulizia kulikoni.Waulizeni Serikali tafadhali waliouhairisha na siyo TFF ya Rais Bora kuwahi kutokea Wallace Karia au kuanza Kuilaumu Timu ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club sawa?
Serekali iiguse Yanga, inuke!!Sasa ni Mwezi unakatika kila ukiamka tu ni lazima ukumbane na Makundi mbalimbali ndani ya Klabu ya Yanga wakisema kuwa hawatocheza Mechi yao na Simba SC iliyopangwa Kufanyika tarehe 3 July, 2021.
Kila hawa Wapuuzi na Wahuni (Yanga SC) kupitia Makundi yao Kuanzia Msemaji wao Mshamba ( Mbwiga ) Bumbuli, Baraza la Wazee na Viongozi wa Matawi wakihojiwa Sababu ya Uamuzi wao huu wanachosema ni kuwa wanataka TFF iwaeleze ni kwanini iliahirisha Mchezo ule ambao Kimsingi ' uliahirishwa ' na Serikali na Ushahidi wa Tangazo husika kila Mdau wa Michezo aliliona na Kulisoma.
Kinachonishangaza zaidi GENTAMYCINE juu ya ' Uhuni ' huu wa Yanga SC ni kuona Serikali ( asa kupitia Wizara husika) ambayo pia inaongozwa na Waziri mwana Yanga SC ' Kindakindaki ' Bashungwa akinyamaza na akiwanyamazia hawa ' Wahuni ' hali inayotufanya Wadadisi na Wachambuzi wa Masuala (Issues) tuanze Kuhisi kuwa huenda hata huyu Waziri nae ni sehemu ya huu ' Mkakati ' wa Kipumbavu (Kipopoma) unaofanywa na Yanga SC.
Waziri wa Michezo Bashungwa na Serikali yako mnaweza mkadhani kuwa ' Uhuni ' huu unaofanywa na Yanga SC hauna ' Madhara ' ila kwa akina GENTAMYCINE tuliobarikiwa ' Maono ' tumeanza Kuona dalili za ' Hatari ' Kubwa hasa katika Soka la Tanzania na Ligi Kuu yetu ila ' Hatari ' kubwa naiona inaweza kwenda kutokea pale Uwanjani ( hasa pale tu Timu moja ) ikifungwa huku ' Mashabiki ' wake wakiwa wameaminishwa Ushindi au kukatishwa Tamaa ya kuwepo kwa Mchezo huo.
Katika hili naiomba Serikali ya Tanzania (hasa kupitia Waziri Bashungwa ) kuwa upesi sana liingilieni Kati, mlitolee Ufafanuzi, mkiri kuwa nyie kama Mamlaka Kuu ya Serikali ndiyo mliamua ' Kuihairisha ' Mechi ile na siyo TFF kama ambayo inatupiwa Lawama na Yanga SC ( na wana Yanga wengi) kuwa wao (TFF) ndiyo ' waliiahirisha ' wakati ' walioihairisha ' kwa sababu wazijuazo Wao ni Serikali hivyo TFF ' Kulaumiwa ' ni Kuonewa tu na Watu fulani (Wapumbavu ) kutafuta sababu kuwa ' Wakifungwa ' basi ' msababishi ' ni TFF kisha waanzishe ' Fujo ' ambayo huenda ' ikaigharimu ' Soka la Tanzania ambalo kwa sasa linakuwa vizuri kwa Matokeo mazuri ya Klabu Bingwa, pendwa na ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Tafadhali Serikali, Wizara husika na Waziri mwenye Dhamama tokeni huko ' mlikojificha ' na mlitolee hili ' Sakata ' Tamko lenu la mwisho lenye Mamlaka ili liishe na lieweke kwani kwa Kulinyamazia hivi ni Kutesa tu ' Saikolojia ' za Wananchi ( hasa Wapenda Soka nchini ) na hata wale wasiopenda ila huwa wanafuatilia tu.
CretinImbecile.
Sababu za kufutwa kwake ni nini?
Ulifutwa kwa sababu zipi na kanuni zipi?
Match ilishachezwa tarehe 8 kwa Simba kutoingiza timu uwanjaniMechi ya tarehe 3 Julai haijafutwa, sababu zitoke wapi sasa?
Sasa kama ilishachezwa, kuna haja gani ya kutoa matamko? Yaani mechi imeshapita halafu afisa habari na wazee wa utopolo wanapita kwenye media kwamba hatutapeleka timu, sasa kwa nini uzungumzie kutopeleka timu wakati ulishacheza hiyo mechi? Akili zenu aliondka nazo Luc EymaelMatch ilishachezwa tarehe 8 kwa Simba kutoingiza timu uwanjani
NutCretin
Sasa kama ilishachezwa, kuna haja gani ya kutoa matamko? Yaani mechi imeshapita halafu afisa habari na wazee wa utopolo wanapita kwenye media kwamba hatutapeleka timu, sasa kwa nini uzungumzie kutopeleka timu wakati ulishacheza hiyo mechi? Akili zenu aliondka nazo Luc Eymael
Ubingwa bila kuipiga utopolo 4G haunogi.Kwani lazima mcheze na Yango ndo mridhike, si iteni timu nyingine mcheze nayo, waachen Yanga na mambo yao
TFF yenu ndo inavuruga soka la TZ, angalia mizengwe tu ya uchaguzi ndo utaelewa TFF ndo wavurugaji wa kila ktu. sasa mnatafuta kuhamisha lawama kwa Yanga.
Toeni kwanza maamuzi zile kesi 7 za Yanga mlizokumbatia ndo mechi itachezwa, vinginevyo tafuteni wa kucheza naye
Simba itajitokezaKama timu zote zisipojitokeza hiyo tarehe 3 julai bado TFF watawajibika kuisogeza mechi mbele bila sababu yoyote.
Simba itajitokeza
Maslahi ya timu yanapatikana kupitia kucheza mpira uwanjani. Timu ziingie zicheze, msimu umalizike tuanze mwingineSasa wewe ndiyo Simba ?mawazo finyu sana au nyie ndo wale ata kama sheria inavunjwa wewe unasapoti tu kisa unapata maslahi yako?
Kwa maandishi haya kwaheri [emoji23][emoji23]Hapa si serikali wala tff wala mikia mwenye kusema fyoko!! Mkijamba tu sisi tunaharisha na mpira wenyewe kwa ujumla lazima upepesukie huko gizani!