powercert_Tz
Member
- Jul 19, 2022
- 45
- 44
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango ameweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ziwa Victoria kwa mji wa Tinde. Hii ni baada ya miradi mingine mikubwa ya maji kukamilika ikiwemo:
Mradi wa maji Nzega (Igunga Tabora) wenye thamani ya shilingi bilioni 6.72 umekamilika kwa asilimia 100% na wananchi wanapata maji safi.
Mradi wa maji Orkesumeti mkoani Manyara wenye thamani ya shilingi bilioni 42.36 umekamilika kwa 100% na wananchi wanapata maji safi.
Mradi wa kigoma wenye thamani ya bilioni 9 umekamilika kwa 100% na wananchi wanapata maji
Mradi wa maji kimbiji Phase 1 wenye thamani ya bilioni 12.32 umekamilika kwa asilimia 100% na wananchi wananufaika kwa maji safi
Mradi wa maji Longido mkoani Arusha wenye thamani ya shilingi bilioni 6.90 umekamilika kwa asilimia 100% na wananchi wanapata maji safi
Serikali ya awamu ya sita inatekeleza ahadi yake, kwamba mpaka kufika mwaka 2025 maji safi yatakua yanapatikana kwa 90% maeneo ya mijini na 80% maeneo ya vijijini. Kwa utekelezaji huu, ni dhahiri kwamba #mamayukokazini
Mradi wa maji Nzega (Igunga Tabora) wenye thamani ya shilingi bilioni 6.72 umekamilika kwa asilimia 100% na wananchi wanapata maji safi.
Mradi wa maji Orkesumeti mkoani Manyara wenye thamani ya shilingi bilioni 42.36 umekamilika kwa 100% na wananchi wanapata maji safi.
Mradi wa kigoma wenye thamani ya bilioni 9 umekamilika kwa 100% na wananchi wanapata maji
Mradi wa maji kimbiji Phase 1 wenye thamani ya bilioni 12.32 umekamilika kwa asilimia 100% na wananchi wananufaika kwa maji safi
Mradi wa maji Longido mkoani Arusha wenye thamani ya shilingi bilioni 6.90 umekamilika kwa asilimia 100% na wananchi wanapata maji safi
Serikali ya awamu ya sita inatekeleza ahadi yake, kwamba mpaka kufika mwaka 2025 maji safi yatakua yanapatikana kwa 90% maeneo ya mijini na 80% maeneo ya vijijini. Kwa utekelezaji huu, ni dhahiri kwamba #mamayukokazini