Serikali ya awamu ya Sita inaupiga mwingi...Sikia Video hii

Serikali ya awamu ya Sita inaupiga mwingi...Sikia Video hii

Monica Mgeni

Member
Joined
Oct 7, 2021
Posts
82
Reaction score
134
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan imedhamiria. Tazama video hii
 

Attachments

  • Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais @samia_suluhu_hassan imeendelea kutekeleza mira...mp4
    8.9 MB
Watoto wakimchukia mzazi, hata akiwabembeleza na Kuwalambisha asali, mioyo yao ni vigumu kumwamini tena mzazi wao

MsD imenunua kidonge cha 4000 kwa milioni mia na therathini na mbili

Sosi, SAG

Tanesco inaagiza nguzo nje ya nje!
 
Watoto wakimchukia mzazi, hata akiwabembeleza na Kuwalambisha asali, mioyo yao ni vigumu kumwamini tena mzazi wao

MsD imenunua kidonge cha 4000 kwa milioni mia na therathini na mbili

Sosi, SAG

Tanesco inaagiza nguzo nje ya nje!
Serikali hii lazima ichukue hatua ,hii sio awamu ya 5 ambapo akina kigwangala na Tanapa walipiga pesa kwa vikao na safari za kubumba za mamilion kwa mamilooni na hawakuchukuliwa hatua yeyote.
 
Nimeona mabango mengi chalinze yameandikwa mama anaupiga mwingi, nikamkuta profesori lipumba naye anasema mama anaupiga mwingi nini tafsiri yake
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan imedhamiria. Tazama video hii
 
🐒🐒🐒
 
Back
Top Bottom