Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilitokea Zimbabwe nadhani,ilikua na tabia Kama lile la uingerezaKama tetesi za kuonekana kwa hao aliens na vyombo vyao zingekuwa za kweli basi hata huku Afrika hivyo vyombo tungeviona,yaani vinatokwa kwao tu?
Aliens wapo,fuatilia tukio la Iran,na juzi yule CIA aliita waandishi akaeleza,'what me and my wife saw,was so disturbing 'Uongo
Wanaishi wapi?Aliens wapo,fuatilia tukio la Iran,na juzi yule CIA aliita waandishi akaeleza,'what me and my wife saw,was so disturbing '
Mara mbili,shuleni na mida ya wanga bush flanNishwahi sikia UFO ishwhi onekana zimbabwe
Dzain wanatoka anga za mbali au tunaishi nao,Kuna taarifa za wao kuishi ardhini,maana Kuna sehemu walisikia Kama drilling kiasi meno yakawauma,mwamba usiku akapiga yowe,vikamjia,vikamuuliza mbona unapiga yowe,na Kuna matukio ya vyombo kuibuka toka majini baharini na kupotelea angani,nenda YouTube utakuta jeshi la wanamaji Us walipata picha ya chombo kikifanya hovering juu ya maji Kisha kikapotelea humo ghaflaWanaishi wapi?
Tupe source na sisi tukasomeDzain wanatoka anga za mbali au tunaishi nao,Kuna taarifa za wao kuishi ardhini,maana Kuna sehemu walisikia Kama drilling kiasi meno yakawauma,mwamba usiku akapiga yowe,vikamjia,vikamuuliza mbona unapiga yowe,na Kuna matukio ya vyombo kuibuka toka majini baharini na kupotelea angani,nenda YouTube utakuta jeshi la wanamaji Us walipata picha ya chombo kikifanya hovering juu ya maji Kisha kikapotelea humo ghafla
Kamba za wa america hizo hawana uthibitishoDzain wanatoka anga za mbali au tunaishi nao,Kuna taarifa za wao kuishi ardhini,maana Kuna sehemu walisikia Kama drilling kiasi meno yakawauma,mwamba usiku akapiga yowe,vikamjia,vikamuuliza mbona unapiga yowe,na Kuna matukio ya vyombo kuibuka toka majini baharini na kupotelea angani,nenda YouTube utakuta jeshi la wanamaji Us walipata picha ya chombo kikifanya hovering juu ya maji Kisha kikapotelea humo ghafla
Mbona yametokea Iran,UK, Israel nkKamba za wa america hizo hawana uthibitisho
Angalia history channel na national geographic,huonesha Sana,au anzia major Marcel UFO, death bed UFO confession utakutana na mjeda wa UK akitoa la rohoni alipokaribia mautiTupe source na sisi tukasome