Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
MAMAA KAACHWA PABAYA YKITE AJAMTONYA HATA MIZIGO YA ACC ZA NJE BASI N SHIDA NA HIVI KALAZWA NAIROBI AKIRUDI DOH ASHUKURU MUNGU

IKOHIVI.. MNAOFWATILIA MKE UKIACHA KORONA ANA PRRSSURE SASA ULIZA AKIAMBIWA HILI SIBORA TU WATOTO WAWAHI KUANDIKIWA URITHI MAPEMA NA MAMA
 
Mke wake si yupo Kenya anatibiwa Corona?
Kwani Corona ina tiba?. Na jee Kenya wamepata wapi mashine za kuaminika kupima corona.
Watu wengi wanaotajwa kufa kwa corona huwa wamekufa kihoro cha kuambiwa wanao au jirani yake anao.Ndio maana mabeberu wanahimiza sana kupima watu kwa wingi kwa vijiti vyao vyenye majibu ya corona ili watu wazidi hofu.
 
Mkewe yuko huku Kenya tunamtibu corona, poleni RIP in peace ila nakumbuka alikua mkaidi kwenye suala la corona, isiwe ndio imemlamba.
Huwa nakupinga ila kwa hili nakubaliana na wewe alikuwa mkaidi sana kuhusu Corona kama huyo wa kwetu Tz
 
Ugonjwa wa moyo anao siku zote, Hakuna dikteta asiye na heart attack, research.maana ugonjwa wa moyo ni ugonjwa tabia.
Corona Kama unaugonjwa mwingine unakupa tiketi ya haraka, na sio moyo tu Kama una kansa, pressure, kisukari, neurodegenerative disorder una-uwezekano mkubwa sana ukafariki
 
Bado jiwe
Siku ikitokea Tanzania , nitafanya sherehe kubwa sana
 
The Arusha Peace Accord for Burundians
16 Apr 2013

Have you been able to build bridges to the opposition parties that removed themselves from elections in 2010?

Source: WoodrowWilsonCentre
 
Halafu hata mda wa kuficha pesa nje hawajapata aisee,au Siri za mzee wafichaje pesa.Uenda akakata Moto kwa mstuko.
 
Ni corona waache talalila! Aliidharau sana corona , Bado Mke wake anapigania maisha nairobi. Mungu amsaidie mama huyu
Na wewe ni mrundi kama Zitto?
 
Moja Ya Madicteta Walio Dharau Corona

Ili ni somo kwa Magufuli na wabishi wote waliosema corona ni ugonjwa mdogo na wanatembea bila kuvaa barakoa.

Na liwe somo kwa madicteta ametesa Watu Wengi Sana.
Alikua dictotar mpole,,hajauwa sana yule,sema tamaa ya madaraka ilitaka kuzidi,,kama siyo wamarekani kumwekea kauzibe,angejuongezea miaka 20 ya kutawala
 
nimekumbukaaa YALE
MAUWAJI AKIONGEZA MIHULA AISEE HII MIILI SIO YA KULETA DHARAU KABISA AISEE
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…