Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
hata virus nawasiwasi wamemrushiawaompwaaa
Alikua dictotar mpole,,hajauwa sana yule,sema tamaa ya madaraka ilitaka kuzidi,,kama siyo wamarekani kumwekea kauzibe,angejuongezea miaka 20 ya kutawala
 
NILISOMA HUKO NYUMA SEHEMU KUNA KIPINDI WALISHAWAHI KUTISHIANA SANA KUHUSU NNI AGOMBEE KATIYAKE NA HUYU RAIOS WA SASA MZEE WA JIRAN AKAKAMATA PIPA WAKAWEKA SAWA SASA MENGI YATAONGELEWA WALE KUKUONDOA DK SIFURI.. OOH.... KUNA SEHEMU HUKO UKIPITA WAKIKUHISI SIO WA KABILA LAOOO WANAANZA KURUKA RUKA KAMA MMASAI UNAWEZA HISI WANAFURAHI KUKUKARBISHA UNASIKIA MTOTO MDOGO ANASE. A AISEE SIJAWAHI MWAGA DAMU SIKU NYINGI UNAWEZA KUNYA MAVI YA BLUE ACHA TU
Halafu hata mda wa kuficha pesa nje hawajapata aisee,au Siri za mzee wafichaje pesa.Uenda akakata Moto kwa mstuko.
 
Alikua dictotar mpole,,hajauwa sana yule,sema tamaa ya madaraka ilitaka kuzidi,,kama siyo wamarekani kumwekea kauzibe,angejuongezea miaka 20 ya kutawala
Alijifichia kwenye ulokole huku akiwa silent killing machine.
Ingia Google search Burundi Inside killing house utaona chemba za damu
 
bab
MDOGO ALIKUWA ENGN 1995 ALIRUDI DAR NA SURUALI MOJA NA BOXER NA TSHIRT YAKE ACHENI TU KAKAA MIAKA MITATU ALIINGIZA DOLA AKIWAZA BANK WANAMSHAURI NOMA AKAWEKA NDAN HELA

ILE VURUMAI ZILIPOANZA WALIANZA UA NYUMBA BAADA YA NYUMBAA BAHATI ALIKUWA ANAISHI NA MWENYEJI AKAMWAMBIA ONDOKA UTAKUFA AKAMFIKISHA SEHEMU KARIBU NA BODA YAAN ALIKUWA AKIFANYA NAE KAZI

ALIPOKARIBIA AKAWATONYA WENZIE JAMA ANA MZIGO WAKAMSIMAMISHA JAMAA AKAKIMBIA DIST


WAKAMWAMBIA MZEE SALAMAYAKO ACHA MZIGO TUNAKUFIKISHA MPAKA BODA NA NAULI YA KWENDA DAR ACHENI TU

ALIPORUDI ALIKUWA AKIONGEA MWENYEWE MPAKA ANAKUFA.... WALE AWANA URAFIKI
 
Jamaa alijifichia kwenye uchungaji wa kilokole Kama alivo bashite ukimkuta anapiga injili utasema Ndie Yesu wa Nazareth wanapiga injili badalaa.
Nashangaa kwann madikteta wengi ni Wakristo 90% je viongozi wa dini ya Kikristo ni wanafiki uruhusu nyumba zao za ibada kuchezewa au ni waoga.Vipi mafunzo ya uislam yanachoma Hadi angalau hawana watawala madikteta wengi Kama sie Wakristo?
 
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Corona hiyo. Bado Magufuli. Corona inapenda wanaojimwambafai eti haipo. Corona ipo.
 
Akiwa Mdogo kwenye genocide alishuhudia wazazi wake wakichinjwa Kama kuku yeye akiwa uvunguni ndo pona pona yake,
Thus ikamfanya asithamini uhai wa wengine.
Salama pekee ya uponyaji ilimfaa amtumikie Mungu aachane na siasa imepelekea amemkosea Mungu.
Heri ya Iddi Amini alipata mda mwingi wa kusali akiwa Saudi Arabia kumtubia Mola wake,
Aliyemuuwa Samuel Doe kikatili kwa kumtembeza uchi mtaani huku akimkamata kiungo kimoja kimoja,Leo ni Mchungaji anaendesha huduma yake Liberia Kama ni kweli ametubu Mungu yu pamoja nae.
Kujilisha upepo kwa kutoa kafara wanadamu wenzio ni chukizo kwa Mungu
 
Jamaa alijifichia kwenye uchungaji wa kilokole Kama alivo bashite ukimkuta anapiga injili utasema Ndie Yesu wa Nazareth wanapiga injili badalaa.
Nashangaa kwann madikteta wengi ni Wakristo 90% je viongozi wa dini ya Kikristo ni wanafiki uruhusu nyumba zao za ibada kuchezewa au ni waoga.Vipi mafunzo ya uislam yanachoma Hadi angalau hawana watawala madikteta wengi Kama sie Wakristo?
Al bashiri, Sadam husein, Osama bn ladeni nk vipi. Udini unatupotezea muda jadili jambo kiutu uzima
 
QUE SON ÂME SE REPOSE EN PAIX SON EXCELLENCE PIERRE NKURUNZIZA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom