Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Corona hii hii... Iliyoshindwa hapa Tz kwa maombi...

Kweli Corona haichagui watu wa kuwaondoa duniani... R.I.P
 
Bado baba Jeska. Huko aliko m.avi yatakuwa yanagonga c.hupi yanarudi ndani. Wamekazana kudanganya watu eti Corona haipo tusivae barakoa.
 
IMG-20200609-WA0071.jpg


Wana-Nzengooo Daaah
 
Chezea PUMU kubwa weyeeeeeeeeeh, na bado m2 m1 hiv imuoneshe vizureeeeh.
 
Jamaa alijifichia kwenye uchungaji wa kilokole Kama alivo bashite ukimkuta anapiga injili utasema Ndie Yesu wa Nazareth wanapiga injili badalaa.
Nashangaa kwann madikteta wengi ni Wakristo 90% je viongozi wa dini ya Kikristo ni wanafiki uruhusu nyumba zao za ibada kuchezewa au ni waoga.Vipi mafunzo ya uislam yanachoma Hadi angalau hawana watawala madikteta wengi Kama sie Wakristo?
Mkuu unazifahamu nchi za Kiislam au la?
Sudan, Misri, Libya, Algeria, Syria, Algeria n.k
Yaani hivi kuna nchi ya Kiislam ya kidemokrasia unavyoifahamu?
 
Mkewe mpaka Sasa bado Yuko Agakhan hospital pale Nairobi anaitibiwa corona baada ya kuzidiwa akiwa huko kwao Burundi.

Kama mkewe waliokuwa wanalala kitanda kimoja Yuko hoi kwa corona, yeye alisalimika kweli? Au ndio chanzo Cha kifo chake?

Wajuzi wa duru za kimataifa nifahamisheni...nilikuwa nimeanza kupuuzia huu ugonjwa ili nianze kuelekeza nguvu upya za kujikinga.
 
Chanzo cha kifo ni mshtuko wa moyo.
Kama huamini unaweza tunga sababu yako pia.
 
Nasikia Burundi wapo mitaani kushangilia tukio la dikteta kufa
 
Mkewe mpaka Sasa bado Yuko Agakhan hospital pale Nairobi anaitibiwa corona baada ya kuzidiwa akiwa huko kwao Burundi.

Kama mkwewe waliokuwa wanalala kitanda kimoja Yuko hoi kwa corona, yeye alisalimika kweli? Au ndio chanzo Cha kifo chake?

Wajuzi wa duru za kimataifa nifahamisheni...nilikuwa nimeanza kupuuzia huu ugonjwa ili nianze kuelekeza nguvu upya za kujikinga.
Definitely ni corona, acha imuondoe maana aliikejeli sana . Mikutano ya kampeni iliendelea kama kawaida as if hakuna tatizo na corona virus! Wengine wajifunze, wakorofi kama yeye1
 
Huyu aliwatesa na kuwauwa sana wapinzani wake wa kisiasa. Nafsi yangu inasita kusema R.I.P
Haisaidii,nakeleka sana na watu wanaojifanya wema,unadhani ukimtakia Rip yako itabadili maamuzi ya muumba wake? Nyie watu mnaoichukulia dini juu juu mnashida sana


Mnaunafiki wa mafalisayo wa kujihesabia haki,

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:

Tumkumbuke Nkurunziza

1. 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;

2. 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;

3. 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu

4. 2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.

5. Leo kafa kama binadamu wengine
 
Definitely ni corona, acha imuondoe maana aliikejelisana . Mikutano ya kampeni iliendelea kama kawaida s if hakuna tatizo na corona virus! Wengine wajifunze, wakorofi kama yeye1
Hivi Burundi wanapima COVID-19 kweli?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom