Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Kabla ajanusurika kupinduliwa na Mr slim fidodidoMbona alikuwa anatembea nchi nyingi tu mkuu.. Mfano Tz, SA, USA nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ajanusurika kupinduliwa na Mr slim fidodidoMbona alikuwa anatembea nchi nyingi tu mkuu.. Mfano Tz, SA, USA nk
Madaraka ameyaacha na kifo. Mungu tenda tena, tenda tena, tenda tena!Ameuwa watu wengi Sana,lkn ameshindwa zuia kifo chake, kupitia killing house zake chemba za maji zilikuwa zikimwaga damu badala ya maji.Ndo mjue Hawa wakoloni weusi wanafanyia waafrika ukatili wa Hali ya juu kuliko hata ukatili mkoloni mweupe alivomtendea mwafrika.
Ukiingia BBC eyes on Africa utashuhudia ukatili anaotendewa mwafrika dhidi ya mwafrika mwenzake.
Mbinguni unaenda Kama mtu uendi Kama mtawala,hata Kama utawaonga viongozi wa dini but Mungu haongekiAmeua wengi, Justice for him Sir God!
Amekimbiza upepo,nawakubali Sana wazungu wao ni kuspend tu mara utalii Africa Mara Asia yaani popote tu, Sasa unakuta mswahili halali Hadi vidonda vya tumbo anazisaka eti anawawekea watoto utadhani nae aliwekewa then anakufa watoto wanauza bei ya kutupa wanakula Bata.madaraka ameyaacha na kifo. Mungu tenda tena, tenda tena, tenda tena!
Kwamba Kagame na madictata wenzake nao wajiandae!Mwisho wa watawla wote wa MKONO WA CHUMA huwa ni mbaya sana
Mdogo? mbona alikuwa anajua kuua! Mdogo anajua kuua?Ila amefariki akiwa mdogo sana..
Unaacha kuogopa kitu ambacho kipo(Corona) unaenda kuogopa kitu ambacho hakipo(Mungu)!Corona mchumba tu .
Wa kuogopwa ni MUNGU PEKEE
Package aliojiwekea na madaraka nikama Rais alie mpokea asingeweza fanya lolote. Hivyo tuzid kujifariji na JeshiMimi naona huwenda attack attack ikawa imesababishwa na kuwekewa sumu...
Kumbuka huyu bwana hakuwa kipenzi cha warundi wengi kitendo cha yeye ku step down from power ikawa ndio nafasi ya kummaliza kimyakimya...
Corona inaepukika Ina kingika lakini uwezo wa Mungu haujuchunguzikiUnaacha kuogopa kitu ambacho kipo(Corona) unaenda kuogopa kitu ambacho hakipo(Mungu)!
EwaaaaaaDah ushawaza kipochi manyoya..... Damn... Bongo nyoso
Exactly, corona mda mwingine ina shababisha blood clot na hii hupelekea heart attack or strokeCorona hiyo imeshafyeka
Lkn jeshi halina uwezo wa kumkinga mtawala na wakati au kuzuia miti isitelezePackage aliojiwekea na madaraka nikama Rais alie mpokea asingeweza fanya lolote. Hivyo tuzid kujifariji na Jeshi
Tuendelee na maombiMwenyezi Mungu angempenda zaidi na mwingine ingekuwa
Exactly, corona mda mwingine jna shababisha blood clot na hii hupelekea heart attack or stroke
Ugonjwa wa moyo anao siku zote, Hakuna dikteta asiye na heart attack, research.maana ugonjwa wa moyo ni ugonjwa tabia.Exactly, corona mda mwingine jna shababisha blood clot na hii hupelekea heart attack or stroke