Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Ameuwa watu wengi Sana,lkn ameshindwa zuia kifo chake, kupitia killing house zake chemba za maji zilikuwa zikimwaga damu badala ya maji.Ndo mjue Hawa wakoloni weusi wanafanyia waafrika ukatili wa Hali ya juu kuliko hata ukatili mkoloni mweupe alivomtendea mwafrika.
Ukiingia BBC eyes on Africa utashuhudia ukatili anaotendewa mwafrika dhidi ya mwafrika mwenzake.
Madaraka ameyaacha na kifo. Mungu tenda tena, tenda tena, tenda tena!
 
Mwisho wa watawla wote wa MKONO WA CHUMA huwa ni mbaya sana
 
madaraka ameyaacha na kifo. Mungu tenda tena, tenda tena, tenda tena!
Amekimbiza upepo,nawakubali Sana wazungu wao ni kuspend tu mara utalii Africa Mara Asia yaani popote tu, Sasa unakuta mswahili halali Hadi vidonda vya tumbo anazisaka eti anawawekea watoto utadhani nae aliwekewa then anakufa watoto wanauza bei ya kutupa wanakula Bata.
 
Mtu muovu anapokufa ameipunguzia mzigo dunia,maana kwa uwepo wake ni roho ngapi zingepotezwa,kufa kwa mtu muovu ni kupona kwa roho nyingi zisizo hatia
 
Duu, siku za mwanadamu ni chache sana
 
Mimi naona huwenda attack attack ikawa imesababishwa na kuwekewa sumu...

Kumbuka huyu bwana hakuwa kipenzi cha warundi wengi kitendo cha yeye ku step down from power ikawa ndio nafasi ya kummaliza kimyakimya...
Package aliojiwekea na madaraka nikama Rais alie mpokea asingeweza fanya lolote. Hivyo tuzid kujifariji na Jeshi
 
Wawakilishiwavyama Kama. Nawaonas Nani amsindikize nani
 
Exactly, corona mda mwingine jna shababisha blood clot na hii hupelekea heart attack or stroke
Ugonjwa wa moyo anao siku zote, Hakuna dikteta asiye na heart attack, research.maana ugonjwa wa moyo ni ugonjwa tabia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom