Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Taarifa rasmi ya serikali ni kwamba amefariki kwa ugonjwa wa moyo. Kwa lugha ya Malkia Elizabeth wa Uingereza wanasema "heart attack" .Mkewe mpaka Sasa bado Yuko Agakhan hospital pale Nairobi anaitibiwa corona baada ya kuzidiwa akiwa huko kwao Burundi.
Kama mkwewe waliokuwa wanalala kitanda kimoja Yuko hoi kwa corona, yeye alisalimika kweli? Au ndio chanzo Cha kifo chake?
Wajuzi wa duru za kimataifa nifahamisheni...nilikuwa nimeanza kupuuzia huu ugonjwa ili nianze kuelekeza nguvu upya za kujikinga.
Ni 10% check list ya madikteta google utapata jibuAl bashiri, Sadam husein, Osama bn ladeni nk vipi. Udini unatupotezea muda jadili jambo kiutu uzima
Kuna mtu bado anafanya masihara na Covid 19.
Definitely ni corona, acha imuondoe maana aliikejelisana . Mikutano ya kampeni iliendelea kama kawaida s if hakuna tatizo na corona virus! Wengine wajifunze, wakorofi kama yeye1
Yeah wanapima boss.Burundi wanapima COVID-19 mkuu?
Ripoti ya madaktari ni mshituko wa moyo siyo corona
Mamba akifa mtoni ni furaha ya wanakijiji kwani amenusuru vifo vya wengi kijijiniNasikia Burundi wapo mitaani kushangilia tukio la dikteta kufa
Acha uzushi nipo Bujumbura na sioni hayo mamboNasikia Burundi wapo mitaani kushangilia tukio la dikteta kufa
Sisi si kisiwa wanasiasa Wana ajenda zaoMagonjwa yote huua kupitia kwenye "cardio-pulmonary arrest. Uwe ugonjwa wa moyo, corona, kukanyagwa na gari, ukiangalia kwenye cheti cha kifo utakuta imeandikwa "cardio-pulmonary arrest". Hiyo haina maana kuwa hakuwa na corona.
Ni kweli lakini hana makuu na wala hajifanyi yeye ni Mungu mtu.Nayeye Fatuma Karume atakufa kama binadamu wengine.
Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana !Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:
Tumkumbuke Nkurunzinza
1 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;
2 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;
3 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu
4 2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.
5 Leo KAFA kama binadam wengine
Mimi siyo MhayaWahaya tuna msemo "Olwoshula mukasho lwija na Nyoko" yaani ukimtakia kifo mama yako wa kambo anakufa mama yako.
Kama vile wewe ndo ulimhudumia kipindi anaumwa.Kwamba heart attack inayoua zaidi watu Africa na entire world imeacha kuua! Halafu ukute unakisia kisia tu,uhakika huna!Unadhani wote humu ni school dropout? wasiojua lolote la epidemiology of infectious diseases
Mzee wa jirani mkaanga samaki wa maji ya sumu zilikuwa haziivi.NILISOMA HUKO NYUMA SEHEMU KUNA KIPINDI WALISHAWAHI KUTISHIANA SANA KUHUSU NNI AGOMBEE KATIYAKE NA HUYU RAIOS WA SASA MZEE WA JIRAN AKAKAMATA PIPA WAKAWEKA SAWA SASA MENGI YATAONGELEWA WALE KUKUONDOA DK SIFURI.. OOH.... KUNA SEHEMU HUKO UKIPITA WAKIKUHISI SIO WA KABILA LAOOO WANAANZA KURUKA RUKA KAMA MMASAI UNAWEZA HISI WANAFURAHI KUKUKARBISHA UNASIKIA MTOTO MDOGO ANASE. A AISEE SIJAWAHI MWAGA DAMU SIKU NYINGI UNAWEZA KUNYA MAVI YA BLUE ACHA TU
JiweBado nani?
LAYMAN POINT OF VIEWNi kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:
Tumkumbuke Nkurunzinza
1 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;
2 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;
3 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu
4 2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.
5 Leo KAFA kama binadam wengine
Bado wanaoikejeli wote, hasa lile la brazil, litaondoka tu!Bado nani?