Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Mkewe mpaka Sasa bado Yuko Agakhan hospital pale Nairobi anaitibiwa corona baada ya kuzidiwa akiwa huko kwao Burundi.

Kama mkwewe waliokuwa wanalala kitanda kimoja Yuko hoi kwa corona, yeye alisalimika kweli? Au ndio chanzo Cha kifo chake?

Wajuzi wa duru za kimataifa nifahamisheni...nilikuwa nimeanza kupuuzia huu ugonjwa ili nianze kuelekeza nguvu upya za kujikinga.
Taarifa rasmi ya serikali ni kwamba amefariki kwa ugonjwa wa moyo. Kwa lugha ya Malkia Elizabeth wa Uingereza wanasema "heart attack" .
Lakini kama unavyojua sisi Waafrika tunapenda kuficha ukweli.
 
Bado nani?
Definitely ni corona, acha imuondoe maana aliikejelisana . Mikutano ya kampeni iliendelea kama kawaida s if hakuna tatizo na corona virus! Wengine wajifunze, wakorofi kama yeye1
 
Magonjwa yote huua kupitia kwenye "cardio-pulmonary arrest. Uwe ugonjwa wa moyo, corona, kukanyagwa na gari, ukiangalia kwenye cheti cha kifo utakuta imeandikwa "cardio-pulmonary arrest". Hiyo haina maana kuwa hakuwa na corona.
Ripoti ya madaktari ni mshituko wa moyo siyo corona
 
Magonjwa yote huua kupitia kwenye "cardio-pulmonary arrest. Uwe ugonjwa wa moyo, corona, kukanyagwa na gari, ukiangalia kwenye cheti cha kifo utakuta imeandikwa "cardio-pulmonary arrest". Hiyo haina maana kuwa hakuwa na corona.
Sisi si kisiwa wanasiasa Wana ajenda zao
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:

Tumkumbuke Nkurunzinza
1 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;
2 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;
3 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu
4 2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.
5 Leo KAFA kama binadam wengine
Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana !
 
Unadhani wote humu ni school dropout? wasiojua lolote la epidemiology of infectious diseases
Kama vile wewe ndo ulimhudumia kipindi anaumwa.Kwamba heart attack inayoua zaidi watu Africa na entire world imeacha kuua! Halafu ukute unakisia kisia tu,uhakika huna!
 
NILISOMA HUKO NYUMA SEHEMU KUNA KIPINDI WALISHAWAHI KUTISHIANA SANA KUHUSU NNI AGOMBEE KATIYAKE NA HUYU RAIOS WA SASA MZEE WA JIRAN AKAKAMATA PIPA WAKAWEKA SAWA SASA MENGI YATAONGELEWA WALE KUKUONDOA DK SIFURI.. OOH.... KUNA SEHEMU HUKO UKIPITA WAKIKUHISI SIO WA KABILA LAOOO WANAANZA KURUKA RUKA KAMA MMASAI UNAWEZA HISI WANAFURAHI KUKUKARBISHA UNASIKIA MTOTO MDOGO ANASE. A AISEE SIJAWAHI MWAGA DAMU SIKU NYINGI UNAWEZA KUNYA MAVI YA BLUE ACHA TU
Mzee wa jirani mkaanga samaki wa maji ya sumu zilikuwa haziivi.
 
Ni kupitia mtandao wa twitter ambako ameandika maneno haya:

Tumkumbuke Nkurunzinza
1 2015 alibadilisha Katiba ili awe Rais kwa Awamu ya 3;
2 2020 kabadilisha SHERIA apewe TZS 1.2 bil akistaafu na KASRI;
3 2020 kabadilisha SHERIA aitwe Supreme Leader akistaafu
4 2020 alifukuza WHO akiwaambia hakuna Corona.
5 Leo KAFA kama binadam wengine
LAYMAN POINT OF VIEW
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom