Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
Rais wa burundi kafa majuzi lakini jana na leo watu hawako na habari kabisa ni kama kafa mtu toka buza kwa mama boge
Mbona corona ilikuwa big deal hadi wale wasoma comment waliandika nyuzi tatu tena zenye wachangiaji wengi. Ila la huyu kiongozi mkuu wa nchi watu wamesusa kuchapa nyuzi
Hili limesababiswa na nini??!
 
Umeenda zuru mitandao ya warundi huko ukaja na conclusion ya namna hii??kwani huyo anahusianaje na nchi hii!
 
Marais wa Afrika ni vibaka wakifa ni kuwasahau chap! Hata yule wa nchi ya asali na maziwa atakapokufa kwa Corona pia ni kumsahau chap
 
Ile kaluli ya Rais wa pili wa URT inaendelea kudumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais wa burundi kafa majuzi lakini jana na leo watu hawako na habari kabisa ni kama kafa mtu toka buza kwa mama boge
Mbona corona ilikuwa big deal hadi wale wasoma comment waliandika nyuzi tatu tena zenye wachangiaji wengi. Ila la huyu kiongozi mkuu wa nchi watu wamesusa kuchapa nyuzi
Hili limesababiswa na nini??!
Hahaa haaa na wewe kwa kulinganisha mambo? Nkurunzinza alikuwa anadharau corona na kuficha takwimu hadi alipokufa inasemekana alikuwa anaugua changamoto ya kupumua. Mke wake naye yupo hoi Nairobi. Pia alifukuza wafanyakazi wa shirika la afya duniani. Na pia alitawala kwa mkono ya chuma.
 
Sijui wkt wa Kampeni watapiga huku wamevaa barakoa au nao wataendelea kushikana mikono na wananchi kama vile Pierre.


Si unaona wafuasi wake wanajitanabaisha kuwa wamesali kwa Mungu wao direct! Hivyo hakutakuwa na barakoa ...Mungu kaichepusha covid tzee
 
Er
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia.

===

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.

Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.

Imeelezwa alilazwa Hospitali Jumamosi na alikuwa anaendelea vizuri hadi Jumatatu ambapo hali yake ilibadilika ghafla na jitihada za madaktari kuokoa maisha yake hazikufanikiwa.

Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 (takribani miaka 15) hadi mauti ilipomfika.

Serikali imesema kutakuwa na kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa siku saba na bendera zitapepea nusu mlingoti.

 
You don't know anything about him. I m sorry to say. Witnessing him worshipping at Kakobe's church is not a criteria of judging his leadership in his country. But for the people who witnessed Burundi before him and Burundi now can understand what I am talking about.

Fare thee well, President Nkurunziza Fare thee well, President Nkurunziza

I join the author above in celebrating the life of Pierre. Atleast he will be remembered for ensuring there is peace and stability in Burundi following years of fightings and several coups.
Pierre wherever you are at the moment
"Your life was a blessing!
"Your memory will always be a treasure to everybody who was fed up with constant strifes in Burundi!
"You will always be loved beyond words and missed beyond measure by all peace loving citizens of Burundi and East Africa (especially neighbouring countries who would wish to see our fellow Burundians returns to their motherland country)!

Pumzika kwa amani Pierre despite the fact that people will continue pointing accussing fingers at you!
 
Poleni sana Familia, pumzika kwa Amani Pierre Nkurunzinza!
 
20200622_011016.jpg


Kwa heri kaka, Burundi imepata pigo
Nchi yako ya Burundi uliipenda sana, Burundi ilianza kutulia
Ulimaliza ukabila na chuki miongoni mwa watusi na wahutu

Wana Africa mashariki tutakukumbuka kwa misimamo yako thabiti dhidi ya Mabeberu ukiwatetea warundi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom