Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Peter ni kipenzi cha Warundi.Hakuna mrundi aliyefurahi kifo cha Peter
Ilikuwa ni uzushi mitandaoni tu, km waluvyozusha mama yake Peter amefariki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peter ni kipenzi cha Warundi.Hakuna mrundi aliyefurahi kifo cha Peter
Ilikuwa ni uzushi mitandaoni tu, km waluvyozusha mama yake Peter amefariki
Peter ni kipenzi cha Warundi.
Simple and humble,sio mtu wa Tamaa ya mali.Jamaa alikuwa mtu poa san,aliipenda Nchi yake sema Mabeberu wakishirikiana na vibaraka wao walikuwa wanamchafua
R.I .PSimple and humble,sio mtu wa Tamaa ya mali.
Watu akili zenu sijui nani kawashikia, vyombo vya propaganda za mabeberu hizo ndo kazi zake, ukipiga kura leo hii JPM atashinda kwa zaidi ya asilimia 90%, piga kura za mitandaoni sasa ambako wamejaa walotumbuliwa wasio na kazi za kufanya na wenye chuki kwa mbinyo waloupata uone, ndo maana ukaambiwa kuna Dar ya Makonda na Dar ya mitandaoni, hizo ni Dar mbili tofauti sana.Sasa kwanini waliokuwa wananchi wake walikuwa wanafurahia kifo chake alafu kila kitu Kibaya kuseme mabeberu sio Sawa
Kumbe hata wewe unajua sana tu kuwa huku mitandaoni hampendwi kabisa nyiye......Watu akili zenu sijui nani kawashikia, vyombo vya propaganda za mabeberu hizo ndo kazi zake, ukipiga kura leo hii JPM atashinda kwa zaidi ya asilimia 90%, piga kura za mitandaoni sasa ambako wamejaa walotumbuliwa wasio na kazi za kufanya na wenye chuki kwa mbinyo waloupata uone, ndo maana ukaambiwa kuna Dar ya Makonda na Dar ya mitandaoni, hizo ni Dar mbili tofauti sana.
R.I.PView attachment 1485552
Kwa heri kaka, Burundi imepata pigo
Nchi yako ya Burundi uliipenda sana, Burundi ilianza kutulia
Ulimaliza ukabila na chuki miongoni mwa watusi na wahutu
Wana Africa mashariki tutakukumbuka kwa misimamo yako thabiti dhidi ya Mabeberu ukiwatetea warundi