ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
labda uchimbe mwenyewe ......ukitafuta fundi atakuchomaTutaanza kuzichimbia ndani Tena chumbani, tunachimba shimo chumbani chini ya uvungu wa kitanda na kuweka cement na chuma hafu tunapiga kufuli. Hakuna atakaye jua.
Aisee.Najua kesi ya jamaa yangu wa karibu kabisa aliyepigwa zaidi ya mil 90. Kashindwa kutoa hela, kaenda kuuliza anaambiwa nenda makao makuu ya Benki, huko wakamwabia serikali inasema kuna mashaka na hela yako... kabanwa mbavu aeleze amezipataje. Bahati mbaya jamaa biashara zake hazikuwa rasmi (kilimo), akakosa vithibitisho. Wakataifisha.
Lete ramani ya huyo Msukuma alipo waende wafanyabiashara wote waliofungiwa Account zao kienyeji kwa njia haramu za kishetaniAisee.
Kuna msukuma mmoja alifanyiwa hivi hivi wakachukua 62M. Walikufa wafanyakazi wa TRA watatu waliohusika kwenye issue yake, na kila mmoja alikuwa anakata saa nane usiku kila siku ndani ya siku tatu. Kiongozi wao alienda kupiga magoti kwa huyo jamaa. Mtu ahangaike kutafuta fedha halafu wachukue tu kijinga jinga, aliwanyoosha.
Mmmh, sidhani Kama unajua unaloliongeaUjamaa ni sumu ya maendeleo,hata Mungu aukubali mfumo huu dhalimu wa kuwafanya watu wawe masikini
Ujui chochoteMmmh, sidhani Kama unajua unaloliongea
Ndio anga zangu professionallyUjui chochote
Mimi huwa nawaambia watu humu watanzania wengi ni wajinga.Aisee.
Kuna msukuma mmoja alifanyiwa hivi hivi wakachukua 62M. Walikufa wafanyakazi wa TRA watatu waliohusika kwenye issue yake, na kila mmoja alikuwa anakata saa nane usiku kila siku ndani ya siku tatu. Kiongozi wao alienda kupiga magoti kwa huyo jamaa. Mtu ahangaike kutafuta fedha halafu wachukue tu kijinga jinga, aliwanyoosha.
Ahaaaa uwongo huo kama kweli mbona tunashindwa kutengeneza mavitu kuhusu wasimamizi uchaguzi ili tupumzike malalamiko ya kunyooshwa.Aisee.
Kuna msukuma mmoja alifanyiwa hivi hivi wakachukua 62M. Walikufa wafanyakazi wa TRA watatu waliohusika kwenye issue yake, na kila mmoja alikuwa anakata saa nane usiku kila siku ndani ya siku tatu. Kiongozi wao alienda kupiga magoti kwa huyo jamaa. Mtu ahangaike kutafuta fedha halafu wachukue tu kijinga jinga, aliwanyoosha.
Ungejua ungeelewaNdio anga zangu professionally
Uyu aliwanyosha kweliAisee.
Kuna msukuma mmoja alifanyiwa hivi hivi wakachukua 62M. Walikufa wafanyakazi wa TRA watatu waliohusika kwenye issue yake, na kila mmoja alikuwa anakata saa nane usiku kila siku ndani ya siku tatu. Kiongozi wao alienda kupiga magoti kwa huyo jamaa. Mtu ahangaike kutafuta fedha halafu wachukue tu kijinga jinga, aliwanyoosha.
Teh TehLete ramani ya huyo Msukuma alipo waende wafanyabiashara wote waliofungiwa Account zao kienyeji kwa njia haramu za kishetani
Visasi ni vya Mungu mkuu japo huwa inauma sana mpaka kupelekea watu kufanya maamuzi ya kutoa roho za watuMimi huwa nawaambia watu humu watanzania wengi ni wajinga.
Mtu unamuachaje wakati amekudhurumu. Kuna wataalam chukueni majina Yao wapelekeeni wako huko muheza, pemba, uvinza, kibondo, Lindi n.k
Bila kufanya hivyo heshima haitarudi.
Mkuu inaonekana hutembei sana.Ahaaaa uwongo huo kama kweli mbona tunashindwa kutengeneza mavitu kuhusu wasimamizi uchaguzi ili tupumzike malalamiko ya kunyooshwa.
Sanaa
Usipotengeneza mazingira ya ku-deal vitu kwa haki ndio matokeo yake haya. Watu wenye mamlaka wanatumia "ukali" wa serikali ya awamu ya 5 kupiga hela sana. Unatishwa, ukiogopa inabidi uwalipe; ukidinda wanakupa kesiAisee.
Kuna msukuma mmoja alifanyiwa hivi hivi wakachukua 62M. Walikufa wafanyakazi wa TRA watatu waliohusika kwenye issue yake, na kila mmoja alikuwa anakata saa nane usiku kila siku ndani ya siku tatu. Kiongozi wao alienda kupiga magoti kwa huyo jamaa. Mtu ahangaike kutafuta fedha halafu wachukue tu kijinga jinga, aliwanyoosha.
Mnaacha kuiga vitu vya maana mnaiga upumbavuHapana....Nafikiri serikali ipo sahihi....kuwa na kiasi kikubwa nia sawah ila kiendane na kodi ulizolipa...wew unamiliki billion 5 bank wakikucheki record zako TRA wanaona haiendani na kiasi unachomiliki...Nchi nyingi zinafanya hiv...tumeshuhudia kina Messi,,Ronaldo wakifikishwa mahakan kwa kutuhuma za kukwepa kodi kwasababu kiasi kilichokusanywa hakiendani na pesa walizoingiza....Miliki pesa nyingi ila hakikisha TRA wanarecords zako nzuri na zinazoendana na kiasi unachomiliki...
Ukiniibia kwa makusudi ili uniharibie maisha lazima nikuchomee ubaniVisasi ni vya Mungu mkuu japo huwa inauma sana mpaka kupelekea watu kufanya maamuzi ya kutoa roho za watu
Dah[emoji24]Hakuna unachokwepa labda wingi wa noti tuu,hizo dola ununue vichochoroni yaani isiwe sehemu rasmi kama benk ,byuro de change nk maana kuna sheria inakataza kuwa na bulk cash unaweza kudhtskiwa kwa uhujumu uchumi tena