Serikali ya CCM haifurahi ukiwa na kiasi kikubwa cha fedha benki, unafilisiwa kwa kupewa kesi ya Uhujumu Uchumi

Hongera kwa kutengeneza fitna na serikali, utafanikiwa sana kwa wasio fanya biashara. Kwa wafanya biashara tunakucheka tuu.

FANYA BIASHARA LIPA KODI STAHIKI.
 
Popote pale hapa duniani huwezi kuwa na pesa bila kuwa na chanzo kinachoonyesha kwamba pesa hiyo umelipia kodi. Mengine yoyote ni majungu tu. Unapokuwa umelipa kodi stahiki hakuna atakaye kusumbua popote pale duniani. Hakuna hata nchi moja ambayo haifanyi hivyo.

Lipa kodi utabaki kuwa salama, wacha kulipa kodi utalia na kusaga meno.
 
Hivi kwenye bank za nje zenye matawi nchini vipi wanazichungulia nazo? Vip wanaweza zichukua pia?
 
Ja
Tutaanza kuzichimbia ndani Tena chumbani, tunachimba shimo chumbani chini ya uvungu wa kitanda na kuweka cement na chuma hafu tunapiga kufuli. Hakuna atakaye jua.
Hahaaa umenifurahisha utafikiria ni mazuri
Mkuu tafuta safe box yapo kila Aina na bei rahisi unaweza kuliweka hata ukutani kwa kificho
Ukalitumia kuhifadhi fedha, hati zako muhimu Kama za viwanja, kadi za magari, document nyingine nyeti hata silaha za moto kama pistol
 
Matajiri kua km mashetani na masikini kua km malaika...
Hizi principle za uchumi zipo ktk nchi ya majuha tu....
 
Yako nahisi ni kwa ajili ya mambo ya 'money laundering'/utakatishaji fedha

usingethibitisha zilikotoka ungeenda ndani bila shaka
 
Inaumiza sana,

Yaani unatesa wafanyabiashara kwa kupora mitaji yao sijui wakiisha serikali nayo itaanza kujitoza kodi kwenye asset zake.....!
 
Ela ni kama first law of thermodynamic inayohusiana sana na principle of energy conservation! Inasema energy is neither created nor destroyed. Lakini inaweza kubadilishwa. Ela hivyo, hivyo ukiona umepata kiasi cha ela ujue kuna mwingine kakosa/poteza ela hiyo hiyo! Vinginevyo uwe muumba pesa!

Hicho ni kibwagizo.
====
Paskali amezungumza sana habari za karma!! Mnapojadili mada hii, basi na suala la karma mnlizingatie.
 
Bank siyo mahala salama pa kuweka pesa tena kwani hata TRA vinara wa Rushwa huwafungia Account zao wafanyabiashara kienyeji kwa njia haramu za kishetani, kuna mbinu mpya hufanywa na Baadhi ya mameneja wa Bank wasiokuwa waaminifu ambao huwapa siri za wateja wenye pesa nyingi kisha kutengeneza mazingira ya kesi za utakatishaji fedha na uhujumu uchumi, Benk zinaenda kufirisika kwani wafanyabiashara wakubwa sasa wamehamishia pesa zao kenya Uganda Zambia kusiko na usumbufu wa pesa za mtu
 

Karma itatembea kwenye familia yake Kama inavyotembea kwenye familia za wajamaa wale ukikutwa na colgate sabuni ya ayu au yolanda unapewa uhujumu uchumi Zama za Giza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…