Serikali ya CCM isivyo na utu, huruma wala aibu

Serikali ya CCM isivyo na utu, huruma wala aibu

Umeongea jambo la maana hasa hapo kwenye mgomo wa walimu.Lakini bahati mbaya kabisa kwa Sasa hilo haliwezekani.Sababu kubwa ni kwamba,organiser mkubwa anayetarajiwa kusimamia hili,CWT,hana nguvu Wala nia ya kuitisha mgomo.Na sababu zipo nyingi tu:mazingira magumu ya kazi,mshahara mdogo,kutolipwa teaching allowance kama kada zingine wanavyolipwa mfano madaktari wanalipwa consultation fee,n.k.CWT hawana nguvu wala nia kwakuwa wao ni sehemu ya CCM,chama tawala.
Na mimi nasema nyie CWT,mnakula pesa za michango kutoka kwa walimu lakini hamuwezi kutimiza jukumu lenu la msingi ambalo ni kupigania maslahi bora kwa wanachama wenu,MLAANIWE.MWISHO WA SIKU CHAMA CHENU KIFE,KWAKUWA DALILI TUMESHAANZA KUZIONA

Haya ni maneno yako yenye kusikitisha sana:

"MLAANIWE.MWISHO WA SIKU CHAMA CHENU KIFE,KWAKUWA DALILI TUMESHAANZA KUZIONA."

Ndiyo maana ma CCM yanasema yataendelea kutawala kwa miaka 100.

Swali la msingi wewe ni mwalimu? Bila shaka jibu hapana. Wewe ni kamanda? Bila shaka BAVICHA kabisa!

Tutegemee katiba mpya Kwa watu kama wewe wenye kuitaka ngoma wasiyokuwa tayari kuicheza?

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Kama hamko tayari kuelekea Tahrir si bora mkatafuta jezi za kijani mkavunga kufa kuwa ninyi si CCM bali wananchi?

Wanaume tukutane Tahrir wengine subirini walimu kukinukisha Ili nani mpate yenu.
 
Hao jamaa nimewaona ndio kundi kubwa linaloweza leta impact kubwa na ya haraka kwa muda mfupi zaidi.

Tofauti na individuals kama sisi, ambao mpaka tumpate wa kutu organise, tusiojulikana tutaanzia wapi tuishie wapi, hata kama madai ya msingi tunayo, kutuleta sawa watu wa sampuli yetu nchi nzima haitakuwa kazi ndogo, japo inawezekana.

Watu ambao wakati mwingine tunatofautiana itikadi hivyo kuamua kupingana kwenye madai yetu ya msingi ili kukomoana tu, tena hata kama matatizo yetu yanafanana, naamini walimu ni kundi kubwa la wanaojitambua linaloweza kutuletea mabadiliko ya haraka kama likiamua.

NIlidhani kundi kubwa lenye watu wenye kujitambua zaidi walikuwa CDM hawa:

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Zingatia Odinga hana nyomi la mtu 2,000 analoambatana nalo kumfanya kamanda Zirro kuufyata.
 
Sasa umeandika nini cha maana hapo ambacho watu hatukijui kutokana na yote yaliyosemwa na kutokea tangu Sakata hilo lilipoanza?
Mnatujazia sever za jf na kutumalizia bando zetu kwa porojo zisizokuwa na maana yoyote.
Mods, unganisha huu upuuzi na nyuzi nyingine zilizokwisha wekwa hapa, please.
Kilichokufanya usome na kisha kukomenti ni nini mjomba?
 
Tabia zetu ni tofauti na wakenya.

Kwa hiyo tabia za wafanya biashara Kariakoo au wale machinga tusiotaka kujifunza kwao hao tabia zao ni kama wakenya?

Machinga wanapotoa Somo, Makamanda tunakwama Wapi?

Au wasema je kuhusu hili nyomi?



Au nao ni wakenya?

Si kuwa mna tabia za kina Yoda, Waterloo au Ile CDM tusiyokuwa na imani nao, wenye kupenda ngoma ichezwe na wengine ila si nyie?

Kwamba si ajabu kuona TAL kakosea pale ingebidi afanye hivi?
 
Kuwa na Imani na chadema uwe unauwezo mdogo Sana wa kupambanua mambo

Kuwa na Imani na CHADEMA tuliyo na Imani nayo ni rahisi kuliko kuwa na Imani na hizi nyoka:

Screenshot_20230519-084657.jpg


Tulipo leo nani mwenye kujua kilichomsibu jiwe, jkn, au hata kachero mbobezi?
 
Haya ni maneno yako yenye kusikitisha sana:

"MLAANIWE.MWISHO WA SIKU CHAMA CHENU KIFE,KWAKUWA DALILI TUMESHAANZA KUZIONA."

Ndiyo maana ma CCM yanasema yataendelea kutawala kwa miaka 100.

Swali la msingi wewe ni mwalimu? Bila shaka jibu hapana. Wewe ni kamanda? Bila shaka BAVICHA kabisa!

Tutegemee katiba mpya Kwa watu kama wewe wenye kuitaka ngoma wasiyokuwa tayari kuicheza?

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir

Kama hamko tayari kuelekea Tahrir si bora mkatafuta jezi za kijani mkavunga kufa kuwa ninyi si CCM bali wananchi?

Wanaume tukutane Tahrir wengine subirini walimu kukinukisha Ili nani mpate yenu.
ni kweli kijani bila deep state ni plain white paper.....anyway hongerini Deep state kwakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nchi hii inakuwa salama mpaka leo ,,,maana bora mmoja aondoke ili 61 millioni wabaki salama bila kujali yeye ana wadhifa gani.....
 
huku Waziri Mkuu akivitaka vyombo, TRA na Jeshi la Polisi kujitafakari kutokana na kile kilichoelezwa na wafanyabiashara."
Kauli hii inaonesha udhaifu wa serikali yetu, yaani taasisi zimefanya kazi kinyume na maadili lkn waziri mkuu anaishia kusema zijitafakari?

Nilitegemea wakuu wa taasisi hizo watenguliwe kwa kushindwa kusimamia taasisi zao
 
Back
Top Bottom