Mwana CCM, anauliza serikali yake ya CCM,
Tulijua umeme unakatwa kwa wapinzani kama ambavyo mliahidi kwenye kampeni, hamtapeleka maendeleo kwa wapinzani,
Kaa kwa kutulia kuna njaa na ukame mkali unatabiriwa, hivyo tarajia uhaba mkubwa wa maji,
picha limeanza dar wenye maboza ya maji wanalamba asali sasa