Tetesi: Serikali ya CCM yashindwa kulipa Posho za Madaraka ya Walimu Wakuu, Wakuu wa shule, vyuo, na Maafisa Elimu kata pamoja na ruzuku za shule Dec 2022

Anayejua nchi inakoelekea ajitokeze Jf atuambie, mie ninaona kama tumepotea njia
 
Kwanza acha chuki zisizo za lazima kama unaishi Kwa kutegemea posho ya madaraka imekula kwako.
Pili. Tafuta biashara ufanye Ili upunguze njaa zisizo za lazima
tatu. wenzako wasiyo na posho za madaraka mbona hawajaja kulalamika je wameshindwa kwenda likizo
Mwisho. Kafie mbali huko.
 
 

Attachments

  • FC828301-143D-4A46-B32E-AE4FED4EDF26.jpeg
    28.2 KB · Views: 2
TUAMBIE CHAMA MBADALA UNACHOKIONA KINA FAA ZAIDI YA CCM NA TOA MAONI YAKO NIKWANINI UNAONA CHAMA HICHI KINA FAA NDIYO TUTAKUELEWA ZAIDI YA HAPO TUNAKUONA NI MTENGENEZA MAJUNGU TU
Hili ndilo swali linalofanyiwa propaganda na wasioipenda Tanzania na maendeleo yake.

Vyama vipo na vinaendeshwa na Watanzania. Wanaweza kutuvusha kupitia ilani na sera zao.

CCM imebuma
 

Fake News.
 
Hili ndilo swali linalofanyiwa propaganda na wasioipenda Tanzania na maendeleo yake.

Vyama vipo na vinaendeshwa na Watanzania. Wanaweza kutuvusha kupitia ilani na sera zao.

CCM imebuma
HUJAELEWEKA BADO MBONA CCM UNAITAJA ? NITAJIE CHAMA UNACHOKIONA KINAWEZA KUIVUSHA TANZANIA ZAIDI YA CCM NA SABABU ZAKO
 
Nchi ishafilisika jamani
wewe ndiyo umefilisika kifedha na kiakili pia hii nchi inaenda vizuri kuliko unavyofikiria chuki uliyo nayo kwa ccm ndiyo inakufanya ujitoe akili kiasi hicho? onaga hata aibu basi wenzio wanaiona inasonga mbele wewe unasema imefilisika? aibu yenuu
 
Kuna mzee nilikutana nae alikua analaani mno ila sikumuelewa vizuri maana ilikua weekend.
 
"Kuna vijineno mitandaoni kuwa serikalini hakuna hela. Ni kweli"

By rais Samia.

..labda fedha za mkopo mpya hazijaingia.

..Mama amekuta nchi ina hali mbaya kifedha.

..Jpm alivuruga uchumi, na Mama hana maarifa ya kuurekebisha.
 
Wakilipwa jitahidi urudi hapa tena kutujuza.
Usiishie serikali inapochelewa kulipa tu
 
Lakini wanajeshi,askari police na askari magereza na wa kada zote za dizaini hii wanaogelea kwenye mishahara na maposho yaliyokufuru.


Inashangaza sn
 
HAYA AEK KATA YA SAZA TUMEKUSIKIA ULIBWETEKA NA POSHO NA WIZI, SASA UMEKUJA MTANDAONI KUINAGA SERIKALI INAYOKULIPA? SHAME ON YOU
 
Walimu walioenda marking form two na form four nao hawajalipwa mpaka leo
 
Wewe hujui chochote. Serikali ilikuwa ikitoa posho ya madaraka kwa Walimu Wakuu, Wakuu wa SHULE, Maafisa Elimu Kata nk. kila mwezi.

Kwa akili yako fupi unaona ni sawa tu kutofanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…