Tetesi: Serikali ya CCM yashindwa kulipa Posho za Madaraka ya Walimu Wakuu, Wakuu wa shule, vyuo, na Maafisa Elimu kata pamoja na ruzuku za shule Dec 2022

huyu ni mek wa kata ya saza lilishazoea kitonga na wanalibutua mpaka wamelipa na ukimwi achana nalo
 
Tuliambiwa, Nchi ipo mbioni kupigwa mnada, hatukuzingatia. Kwa hali tulipofikia kama Nchi, bado kitambo kidogo tunakwenda kupigwa mnada asubuhi na mapema.

Lakini kuna mtu mmoja alisema, tusiseme Nchi itapigwa mnada, bali tuseme, Nchi imeshapigwa mnada.
 
Nchi ishadondoka hii.. inasubiri muokotaji tu.
 
Kwa uzoefu, hata mishahara mwezi huu imechelewa ikilinganishwa na miaka kama 6 iliyopita ambapo katika kipindi hiki cha Christmas, mishahara ilikuwa ikitolewa kati ya tarehe 21 au 22, lakini mwaka imekuwa tofauti kidogo.
 
HUJAELEWEKA BADO MBONA CCM UNAITAJA ? NITAJIE CHAMA UNACHOKIONA KINAWEZA KUIVUSHA TANZANIA ZAIDI YA CCM NA SABABU ZAKO
Nimequote bila kusoma kwa sababu caps huwa napuuzia kusoma

Weka hoja kwa mwandiko mzuri acha kunifokea
 
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝

kumekuchaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…