Sawa, lakini si umeona alichoandika kuhusu Pope? Similarly, mshauri ili wote tucheze fair play
Kajinga sana haka katotoHABARI,
"Kennedy,
Asante sana kwa Taarifa Nzuri ila sasa naomba ufafanuzi na uthibitisho kwenye maneno yako haya.
Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )
LUMUMBA
Bado kuna vitu vingi sana inatakiwa ujifunze mkuuYeah, maana mtume wa allah alioa kitoto cha miaka saba
Hii point ya kikubwa kabisaYeye kumkashifu Papa haihalalishi wewe kutukana dini za wengine,
Isitoshe wewe hauna uhakika kama yeye ni muumini wa dini ya Kiislamu.
Walutheri, Waanglikani, Wasabato na Walokole wanaweza kumtukana Papa vile vile japo ni Wakristo,
Hivyo kama hii kauli ungeitoa mbele za watu nje ya Keyboard tayari ungekuwa umeanzisha matatizo makubwa sana.
Akili nyingine hua unaweza jiuliza ilikuwa wapi akati inaandaa presentation!..
Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )
Pumba kabisa, watu wakikosaga cha kufanya huwa wanaandika maharage yaliyochachaNi Kanisa Catholic Ambalo Lina Nguvu Kwa Kila Idara Zake Kuanzia Pande Mbalimbali Za Ulimwengu Huu.
Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )
Huko China SaSa Kuna Vitu Ambavyo Siyo Mfutano Bali Huwa Kwa Taratibu Za Kanisa Catholic Baba Mtakatifu Ndiyo Mtu Pekee Anayechagua Viongozi Wakuu Wa Kanisa (Yaani Askofu ) Hawa Wanafanya Kazi Bila Kuwa Na Hofu Yoyote Maana Wanaripoti Kwa Baba Mtakatifu .
Sasa Nchini China Baba Mtakatifu Anachagua Viongozi Wa Kanisani Na Serikali Nayo Inachagua Viongozi Wa Kanisa Pia Wakitokea
Upande Wa Serikali Yaani Kulinda Maslahi Ya China
Ingawa Wote Wanafanya Kazi Pamoja Yaani Wote Ni Wakatoliki Baba Mtakatifu Hawatambui Hao Viongozi Wa Dini Toka Upande Wa Serikali
Lengo Kuu La Serikali Ya China Kuteua Viongozi Wa Dini Ndani Ya Kanisa Ni Kulinda Maslahi Yake
Maagizo Yote Toka Kwa Baba Mtakatifu Kamwe Hawapewi Hao Viongozi Wa Dini Wanaoteuliwa Na Serikali
Mshitaki tu usiogope aibu, alikupitia mara ngapi?Itakua ni yule analawiti watoto.
Ukapiga kijiko cha kwanza, ukasikia harufu, naukaendelea kulaπππππPumba kabisa, watu wakikosaga cha kufanya huwa wanaandika maharage yaliyochacha
Eeeeeeeeh!!!Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )
HAPA NDIPO KWENYE UKAKASI.INA MAANA SEHEMU KUBWA YA ARDHI SIO MALI YA SERIKALI BALI YA KANISA??JE WAISLAMU WANAJENGA MISIKITI KWENYE ARDHI YA KANISA???
Una ushahidi?Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )
HAPA NDIPO KWENYE UKAKASI.INA MAANA SEHEMU KUBWA YA ARDHI SIO MALI YA SERIKALI BALI YA KANISA??JE WAISLAMU WANAJENGA MISIKITI KWENYE ARDHI YA KANISA???
Utaona huyo mtoa mada ataanza kuandamwa na matusi kiukweli ardhi yoyote inayopimwa hapa Tanzania nia lazima waweke sehemu ya hawa wakatoliki. Na wenyewe hawapendi huu ushenzi wao wa kutawala nchi indirectly ijulikane kabisa ni siri sana. Na serikali haina lolote mbele ya hawa jamaa ni mkia kuufyata tuInajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )
HAPA NDIPO KWENYE UKAKASI.INA MAANA SEHEMU KUBWA YA ARDHI SIO MALI YA SERIKALI BALI YA KANISA??JE WAISLAMU WANAJENGA MISIKITI KWENYE ARDHI YA KANISA???