Serikali ya China na Kanisa Katoliki

Serikali ya China na Kanisa Katoliki

Yeye kumkashifu Papa haihalalishi wewe kutukana dini za wengine,
Isitoshe wewe hauna uhakika kama yeye ni muumini wa dini ya Kiislamu.
Walutheri, Waanglikani, Wasabato na Walokole wanaweza kumtukana Papa vile vile japo ni Wakristo,
Hivyo kama hii kauli ungeitoa mbele za watu nje ya Keyboard tayari ungekuwa umeanzisha matatizo makubwa sana.

tena angeitoa mbele yangu sijui nini kingempata wallah


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni Kanisa Catholic Ambalo Lina Nguvu Kwa Kila Idara Zake Kuanzia Pande Mbalimbali Za Ulimwengu Huu.

Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote Unaloliona Hapa Tanzania Ni Mali Ya Baba Mtakatifu (Inalipiwa Kodi Zote Na Taratibu Zote Za Kumiliki Hufuatwa )

Huko China SaSa Kuna Vitu Ambavyo Siyo Mfutano Bali Huwa Kwa Taratibu Za Kanisa Catholic Baba Mtakatifu Ndiyo Mtu Pekee Anayechagua Viongozi Wakuu Wa Kanisa (Yaani Askofu ) Hawa Wanafanya Kazi Bila Kuwa Na Hofu Yoyote Maana Wanaripoti Kwa Baba Mtakatifu .

Sasa Nchini China Baba Mtakatifu Anachagua Viongozi Wa Kanisani Na Serikali Nayo Inachagua Viongozi Wa Kanisa Pia Wakitokea
Upande Wa Serikali Yaani Kulinda Maslahi Ya China


Ingawa Wote Wanafanya Kazi Pamoja Yaani Wote Ni Wakatoliki Baba Mtakatifu Hawatambui Hao Viongozi Wa Dini Toka Upande Wa Serikali


Lengo Kuu La Serikali Ya China Kuteua Viongozi Wa Dini Ndani Ya Kanisa Ni Kulinda Maslahi Yake

Maagizo Yote Toka Kwa Baba Mtakatifu Kamwe Hawapewi Hao Viongozi Wa Dini Wanaoteuliwa Na Serikali
Linapokuja swala la maslahi ya nchi, kuna baadhi ya nchi hawataki masihara hata kidogo mfano mzuri ni China na Korea Kaskazini. Aiseee Nimeipenda hii. #Dinitumeletewa
 
Back
Top Bottom