Serikali ya Israel yawataja majina ya Watanzania waliotekwa na Kundi la Hamas

Serikali ya Israel yawataja majina ya Watanzania waliotekwa na Kundi la Hamas

Kilimo si wangalienda Norway au Findlay? Wameenda Israel inayochukiwa na waislam duniani kwa kuwaua waislam wa Palestina?

Unajuaje kama walikosa nafasi? scholarship hazipatikani kirahisi kama inavyodhani. Ni process ndefu sawa na kubet.
Wameenda israel kwa scholarship kusoma tu, suala la israel kuchukiwa hilo haliwahusu
 
Shida iliopo Hamas wanaowashkilia mateka na mamlaka ya Palestina chini ya Fatah hawaelewani.Mbaya zaidi mamlaka ya parestina yenye ubalozi hawana ubavu WA kuwaeleza chochote Hamasi.

Kinachonisikitisha,Hilo jeshi la Israel linaonekana kwenye makaratasi Lina makomandoo Bora Kwa Nini hawaendi kuwaokoa.
Waende kuwaokoa wapi, wambie walipo mateka uone kama hawataenda kuwaokoa au wewe unafikiri wanapenda watu wao waendelee kuteseka kwa magaidi.

Unafahamu namna walivyo wakomboa watu wao Uganda mwaka 1976 au ulikuwa hujazaliwa, wewe hao Israel wasikie tu hivyo hivyo unafikiri ingekuwa ni jeshi la hivi hivi lingeingia Gaza si wangeomba tu wakae mezani waongee.
 
Mnaoendelea kushabikia ugaidi wa waarabu wa HAMAS kisa dini, mjue wanaendelea kushikilia Watanganyika (Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix Mtenga) wasiohusiana na ugomvi wa Palestina.......................
Ukiingia kwenye uzombi wa dini unausahau undugu, uzalendo unakua kama msukule fulani ambaye unaweza kujilipua muda wowote.

The Israeli government has named Tanzanians Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix Mtenga as among at least 240 people seized by Hamas fighters in their bloody October 7 raids on Israel.
The father of a Tanzanian national taken hostage by Hamas said Tuesday he is praying for a truce in Gaza as the family endures "sleepless nights" anxiously waiting for news.


Pole sana
 
Muarabu asingekuja kubaka wazee wetu Pwani usingejua hiyo dini wala huo uislamu unaokusababisha utokwe na fahamu, kwanza hao waarabu huwaona kama mbwa licha ya shobo zenu kwao...

screenshot_20220521-114037_gallery-jpg.2240761



screenshot_20220731-204338-2-jpg.2310321
Pole sana
 
Israel hutoa Scholarship kwa vijana walio somea masuala ya kilimo na hata hao vijana ni miongoni mwa walio kuwa huko kwa program hiyo wewe kwa kua ni lizuzu upo upo tu hasara kwenye nchi ukiwa na kanzu yako apo barakashia yenye matobo tobo huna future yoyote una baki kuuliza tu swali lisilo na kichwa waka miguu
pathetic wahed 😏😏
Hahaha mlijichagua wakristo watupu mkajipeleka acheni yawakute
 
Hao azam hawajalaani hilo tukio walilofanya hamas?
 
Mashabiki ya hamas ya madongokuinama na mchambawiwa yaliyoko zuzuland yaona fresh tu magaidi hayo yakiteka watu wasio na hatia wala ugomvi nao
Pale mkristo anapowatetea ambao wao hata ukristo hawaujui
 
Back
Top Bottom