Serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali za nchi hii kwa maendeleo ya watu wote

Serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali za nchi hii kwa maendeleo ya watu wote

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Huu uzi ninauandika nikiwa na jazba na ghazabu.
Nimefanya kazi mgodi wa GGM(GEITA GOLD MINE), kisha nikafanya Mgodi wa Bulyanhulu uliokuwa ukimilikiwa na Barrick kisha Acacia.

Ardhi yetu imemeza matrilioni ya fedha.
Nimefanya kazi kwenye hifadhi ya Serengeti kwenye hoteli ya kitalii FOUR seasons na kuizungukia hifadhi kwa umakini siku za off. Ni utajiri mtupu.
Ukianzia Tanga mpaka Mtwara kuna bahari, kuna maziwa, kuna hifadhi nyingi, kuna mapori mengi.

Tuna madini ya chuma, gesi, makaa ya mawe, ardhi inayosapoti kila aina ya mazao. Kama zao hili halikubali Mbeya basi Morogoro linakubali, kama Lindi halikubali Njombe linakubali n.k, n.k
Sasa mpaka leo serikali imeshindwa kutoa mkopo kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu,
Serikali imeshindwa kutoa huduma za afya bure.
Serikali imeshindwa kuondoa nyumba za manyasi na udongo kwa kuboresha sekta ya kilimo na ufugaji.

Je, si wakati sasa serikalini kujiuzulu?

3020746_IMG_20211203_112841.jpg
hii ni shule ya serikali jamani sio kilinge cha mganga wa kienyeji.
 
Habari!
Huu uzi ninauandika nikiwa na jazba na ghazabu.
Nimefanya kazi mgodi wa GGM(GEITA GOLD MINE), kisha nikafanya Mgodi wa Bulyanhulu uliokuwa ukimilikiwa na Barrick kisha Acacia.
Ardhi yetu imemeza matrilioni ya fedha.
Nimefanya kazi kwenye hifadhi ya Serengeti kwenye hoteli ya kitalii FOUR seasons na kuizungukia hifadhi kwa umaskini. Ni utajiri mtupu.
Ukianzia Tanga mpaka Mtwara kuna bahari, kuna maziwa , kuna hifadhi nyingi, kuna mapori mengi.
Tuna madini ya chuma, gesi, makaa ya mawe, ardhi inayosapoti kila aina ya mazao.
Kama zao hili halikubali Mbeya basi Morogoro linakubali, kama Lindi halikubali Njombe linakubali n.k, n.k
Sasa mpaka leo serikali imeshakoma kutoa mkopo kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu,
Serikali imeshindwa kutoa huduma za afya bure.
Serikali imeshindwa kuondoa nyumba za manyasi na udongo kwa kuboresha sekta ya kilimo na ufugaji.
Je, si wakati sasa serikalini kujiuzulu?
Halafu nchi ataongoza nani
 
Habari!
Huu uzi ninauandika nikiwa na jazba na ghazabu.
Nimefanya kazi mgodi wa GGM(GEITA GOLD MINE), kisha nikafanya Mgodi wa Bulyanhulu uliokuwa ukimilikiwa na Barrick kisha Acacia.
Ardhi yetu imemeza matrilioni ya fedha.
Nimefanya kazi kwenye hifadhi ya Serengeti kwenye hoteli ya kitalii FOUR seasons na kuizungukia hifadhi kwa umakini siku za off. Ni utajiri mtupu.
Ukianzia Tanga mpaka Mtwara kuna bahari, kuna maziwa , kuna hifadhi nyingi, kuna mapori mengi.
Tuna madini ya chuma, gesi, makaa ya mawe, ardhi inayosapoti kila aina ya mazao.
Kama zao hili halikubali Mbeya basi Morogoro linakubali, kama Lindi halikubali Njombe linakubali n.k, n.k
Sasa mpaka leo serikali imeshakoma kutoa mkopo kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu,
Serikali imeshindwa kutoa huduma za afya bure.
Serikali imeshindwa kuondoa nyumba za manyasi na udongo kwa kuboresha sekta ya kilimo na ufugaji.
Je, si wakati sasa serikalini kujiuzulu?
Mkuu, tone yako kama ya jembe vile?
 
Mimi naunga mkono wananchi tukahistaki serikali Umoja wa mataifa imeshindwa kutuongoza.
Ni bora tunanunue viongozi nje ya nchi kuliko hawa wanasiasa hivi tunakuaje masikini tunakopa na raslimali tele zilizojaa hizi.
Madini tu ya wilaya moja tu inalipa deni la taifa na change inabakia KILA wilaya tza madini yapo.
Mungu katupa chuma katupa na makaa ya mawe eti hata kuchukua chuma na kukiyeyusha kwa makaa ya mawe hatuwezi.
Mito inamwaga maji baharini ni aibu sana mito yote inatakiwa imwage maji mashambani,Mchina akija kutumia mito yetu kulima soko tele kwao eti povu
 
Kuwa huru kujitawala huku huwezi tumia raslimali zako kuendelea huo UHURU una maana gani sasa.
Si bora wangewaacha tu wakoloni wangetuletea maendeleo ajira tele unachagua tu viwandani au mashambani au ufanye biashara masoko tele.
Jukumu mkulima lilikuwa ni kulima na sio kutafuta soko.
 
south afrika wamepata uhuru juzi tu.
Naweka rekodi sahihi kwa faida yetu sote.

South Afrika ilipata uhuru Disemba 11, 1931, lakini ikakaliwa na Ufalme wa Mwingereza kwa miaka 31 ndipo ikapewa Jamhuri Mei 31, 1961. Mwaka 1948 katika vita kuu ya pili ya dunia ubaguzi wa rangi uliibuka hadi ulipomalizwa 1994 kwa kuachiliwa huru Mandela. Kwahiyo Afrika Kusini ina miaka 91 ya uhuru na miaka 28 ya ukombozi toka kwenye ubaguzi wa rangi.

Mimi naunga mkono wananchi tukahistaki serikali Umoja wa mataifa imeshindwa kutuongoza.
Ni bora tunanunue viongozi nje ya nchi kuliko hawa wanasiasa hivi tunakuaje masikini tunakopa na raslimali tele zilizojaa hizi.
Madini tu ya wilaya moja tu inalipa deni la taifa na change inabakia KILA wilaya tza madini yapo.
Mungu katupa chuma katupa na makaa ya mawe eti hata kuchukua chuma na kukiyeyusha kwa makaa ya mawe hatuwezi.
Mito inamwaga maji baharini ni aibu sana mito yote inatakiwa imwage maji mashambani,Mchina akija kutumia mito yetu kulima soko tele kwao eti povu
Mkuu, tone yako kama ya Jembe vile!
 
Kuhusu shule hii Jamii husika nayo inabeba Lawama inafaa wakaazi wote wa hapo wachapwe viboko kuanzia wazee hadi watoto wanashindwa vipi kutumia udongo kufyatua tofali na vigae vya kuezekea wajenge shule bora kuliko hilo banda la mbuzi.
Hapa ndipo nilipompendea Mjerumani wote hao ni viboko ndani ya miezi mitatu shule ya kisasa imejengwa.
Ina maana hawaoni udongo,hawaoni kuni tele hakuna miti porini wakate mbao.

Tuache uzembe kujenga shule bora ya kisasa kwa kutumia nguvu hata milioni 20 haifiki unapata madarasa 20 kwa nguvu kazi.

3020746_IMG_20211203_112841.jpg
 
Habari!
Huu uzi ninauandika nikiwa na jazba na ghazabu.
Nimefanya kazi mgodi wa GGM(GEITA GOLD MINE), kisha nikafanya Mgodi wa Bulyanhulu uliokuwa ukimilikiwa na Barrick kisha Acacia.
Ardhi yetu imemeza matrilioni ya fedha.
Nimefanya kazi kwenye hifadhi ya Serengeti kwenye hoteli ya kitalii FOUR seasons na kuizungukia hifadhi kwa umakini siku za off. Ni utajiri mtupu.
Ukianzia Tanga mpaka Mtwara kuna bahari, kuna maziwa , kuna hifadhi nyingi, kuna mapori mengi.
Tuna madini ya chuma, gesi, makaa ya mawe, ardhi inayosapoti kila aina ya mazao.
Kama zao hili halikubali Mbeya basi Morogoro linakubali, kama Lindi halikubali Njombe linakubali n.k, n.k
Sasa mpaka leo serikali imeshindwa kutoa mkopo kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu,
Serikali imeshindwa kutoa huduma za afya bure.
Serikali imeshindwa kuondoa nyumba za manyasi na udongo kwa kuboresha sekta ya kilimo na ufugaji.
Je, si wakati sasa serikalini kujiuzulu?
View attachment 2073871hii ni shule ya serikali jamani sio kilinge cha mganga wa kienyeji.
Tatizo ni kuwa 25% ya ardhi ya nchi ndiyo imepimwa na kupangiwa matumizi, 75% haijapimwa, hivyo wananchi wakati fulani tuna tabia ya kuhama kwenye vijiji halali vilivyosajiliwa vyenye miundombinu na kuhamia porini ambako ardhi haijapimwa (haina mwenyewe) na kuanzisha makazi ambayo hayajarasimishwa na ambako hakuna miundombinu kwa mantiki hiyo. Jamii ya wafugaji wanaongoza kwenye kadhia hii. Nyerere yalipomshinda mwaka 1972 aliswaga watu toka maporini kwenda kuanzisha vijiji ili awape watu huduma za jamii kwa urahisi wakiwa wamekusanyika kwenye communities kuliko wakiwa wametawanyika.
 
Back
Top Bottom