Serikali ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ijiuzulu kwa kushindwa kutumia rasilimali za nchi hii kwa maendeleo ya watu wote

Very sad, tusiiache kuwa enlighten watu wajue walipo na inapotakiwa kuwepo.

Ally Kikwete anaandaliwa kumrithi Mabeyo

Wataamka lini mkuu…wakati wako busy kushangilia Yesu kuuwawa na Baraba kuachiwa huru…sasa hv Baraba ndio anashikilia usukani na watu wanashangalia..pathetic

Polepole was trying to help but shule imefungwa kwa uoga usiojulikana…anyway ngoja tuone…

#kataawahuni
 
Wajaluo wana msemo "Something that goes around comes around" JPM alivyomfire Mwele Malecela kutoka NIMR kwa kashfa ya kutangaza uwepo wa homa ya Zica alafu akaitwa UN baadhi ya Watz walishangilia kuwa Mungu ameitumia UN kum-disapprove JPM.

Leo hii huenda yakajiri pia kwa mama, naona kama Kabudi na Kitila wananyemelewa na Jumuiya za Kimataifa ikiwemo UN kabla na baada ya 2025. Tutasemaje kwamba Mungu yule yule aliyempigania Mwele atakuwa amewapigania pia Kabudi na Kitila? Something that goes around comes around.
 
Si Mheshimiwa Spika ameshajiuzulu jamani. Sasa wote wakiondoka tutaishije?
 
Hako pichani ni Job Ndugai?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati wananchi wakijenga shule,zahanati na kulipa kodi/tozo,CCM wanakula hadi wanatapika!
 
Rasilimali muhimu kwa nchi kupata maendeleo ni wananchi siyo madini au ardhi au hali ya hewa au chochote kingine. Ndiyo maana unaona kanchi kadogo kako jangwani kama Israel kana maendeleo makubwa. Watu wao ndiyo rasilimali kubwa. Kama nchi imejaa watu wajinga, wapumbavu, wavivu, wabinafsi haiwezi kupata maendeleo hata kama wamekalia au wamezungukwa na utajiri.
 
[emoji3516] daaah Sandali umetobotoa jipu!
Viongozi wa mtaa wanatembelea shule ya nyasi kijijini na magauni ya kijani.
Ama kweli ukiwa CCM bongo lote wanachukua.
Ni ukweli usiopingika Nchi yetu ni tajiri kweli.
Ila wanajali kwa matumbo yao na familia zao.
Walijidau wanaweka wazi mli za viongozi! Maajabu hakuna aliyethubutu ila wengi wanazo za kutisha.
Mbunge ana nyumba 10 Dodoma ukiacha Dar anakoishi.
Seriously
Katiba Katiba.
 
Kumbe!!!!!
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Wakati wananchi wakijenga shule,zahanati na kulipa kodi/tozo,CCM wanakula hadi wanatapika!
Mkuregenzi ananuliwa v8 la milioni 400 la kumpeleka kazini na kupeleka watoto wake shule ndio Kazi kubwa ya haya ma v8 Ili ailinde tu ccm
 
Mkuregenzi ananuliwa v8 la milioni 400 la kumpeleka kazini na kupeleka watoto wake shule ndio Kazi kubwa ya haya ma v8 Ili ailinde tu ccm
Inaumiza sana
Mpaka unajiuliza hivi hawa vihongozi wetu zipo kweli kichwani.
Haiwezekani mtu mmoja atembelee V8 ya 400 millions huku watu 40000 wakinywa maji na mbwa pamoja na ng'ombe kisa tu pump ya million 100 imekosekana
 
Tuna madini ya chuma, gesi, makaa ya mawe, ardhi inayosapoti kila aina ya mazao. Kama zao hili halikubali Mbeya basi Morogoro linakubali, kama Lindi halikubali Njombe linakubali n.k, n.k
Sasa mpaka leo serikali imeshindwa kutoa mkopo kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu,
Serikali imeshindwa kutoa huduma za afya bure.
Serikali imeshindwa kuondoa nyumba za manyasi na udongo kwa kuboresha sekta ya kilimo na ufugaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…