Serikali ya kenya Kenya Kutumia $885mn (1.8trilion ) kujenga daraja la 500m Likoni

Kule Mwanza twajenga 3km kwa 700bil
 
Kule Mwanza twajenga 3km kwa 700bil
Hilo Daraja peke yake ni 3.2km 3x3 hapo bado hujaweka barabara za maungio upande wa busisi na upande wa Kigongo
 
waswahili mipumpavuuu tatizo lugha hata hawaielewi!! wanatirirka povu tu, pesa ni zetuuuu kwani mnaumiaa!?😛😀
Pesa hamna mnategemea kukopa, wenyewe wakikataa kuwapa pesa, hilo daraja litaishia katikati kama ilivyotpkea kwenye SGR baada ya mchina kuwakatalia pesa yake. Ujinga wenu ni kuendelea kukumbatia kiingereza na kudhani ni lugha ya maana, kila kitu mnakimbilia lugha wakati sisi kiingereza tunakidharau, wajinga ninyi.
 
Halafu hili ni lefu zaidi ya njia tatu kila upande gharama chini zaidi
Hiyo gharama unayoiona ni pamoja na kodi za serikali, maana yake serikali ikiondoa kodi hapo hilo daraja ni chini ya billion 600,ndio maana nikasema ni madaraja ma3 kama hayo kwa hiyo pesa ya Kenya

Umeona eeh! Lanes 6 za magari na bado ni cheap zaidi.
 
The cost of the two bridges may vary due to the complexity of the design sio Mambo na urefu.
the bridge will be high enough to allow ships to pass under alafu both sides of the bridge will have a spiral elevated highway to enable motorists reach the high bridge height and drive back down at the end of the bridge.
then hio bridge lazima itaanzia from far ndio iwe na optimum height for the slope thus the displacement of People.
 
Kweli;
2015 GDP Tz $50b, Kenya $67b
2019 GDP Tz $59b, Kenya $99b
Time has just told you [emoji850][emoji850]
Unabadilisha 61 billions imekuwa 59??
Aya hongera kwa uzandiki.
Lakini Kenya still ni miongoni kwa mataifa duni yanayopokea misaada ya chakula walizungumziaje hilo?
 
Hakuna uhitaji wa ma spiral tarmacs yote hayo.Ni ubadhilifu tu wa hela mnaufanya yani useless tu.
 
I knew all of these but still 500m Bridge can't consume all that cash. Halafu ndio maana mnapigwa pesa ndefu sababu mpo so weak to be manipulated, kweli mnawezewa
 
Ni heri kuka bila daraja than kujenga kitu ugly hivi,
Huh, kitu safi kama Jinja bridge hunifurahisha sana
 
Hii iko na pillars kama za Jinja bridge,
The best bridge behind maputo bridge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…