Serikali ya kenya Kenya Kutumia $885mn (1.8trilion ) kujenga daraja la 500m Likoni

Serikali ya kenya Kenya Kutumia $885mn (1.8trilion ) kujenga daraja la 500m Likoni

Kweli;
2015 GDP Tz $50b, Kenya $67b
2019 GDP Tz $59b, Kenya $99b
Time has just told you [emoji850][emoji850]
GDP yenu ni $52b hiyo nyingine ni mapishi tu ya slum
GDP ya Tanzania ni 72 Kwa sasa ila dunia aiwezi kusema ukweli wala sisi atutaki watujue nguvuzetu ila wataona matokeo ya miradi miaka miwili ijayo
 
Uuh...so Japanese are your God? If they told you the cost is usd 885mil you just say amen..and you can't even ask how they arrived to that figure?

Chinese told us the cost for our sgr is usd 7bil+....but now we're doing it for usd 3bil.

As I said, Kenya is not like your LDC shithole.
We have order and systems.
Your dictator can order anything.
 
Are you compensating the Ocean? To who?

Our project is bigger than just the bridge. Industrial zone. More than 800 structures to be demolished.

Try leaving your shithole and visit Kenya. You'll be surprised.
 
Hahahaha, mnaenda kulipa compensation baharini?, kwahiyo wajapan ambao ndio wao wanaowakopesha pesa, haohao ndio wanafanya "Feasibility study", haohao ndio wanajenga, unajisifia kwa hilo?, ninyi kweli hamna akili.

Kwanini hamjifinzi nini wakenya?, huu mtindo wa kutumia nchi hiyo hiyo kufanya kila kitu ndio sababu mlidhulumiwa na mchina ktk SGR, ina maana Kenya nzima hamuwezi kufanya " Feasibility study"?, bure kabisa ninyi.

LDC shithole mentality.
We are not only building a bridge. We have an industrial park under the same project, and more than 800 structures scheduled for demolition and compensation.

Just because you've never seen such massive projects in your shithole country, doesn't mean they don't happen.
Leave your slum house for once and travel.
 
Hahahaha, Kenya hakuna SGR, ninyi mlijenga "Very old fashion diesel and very slow train".

Unachosema ni kama kusema hakuna flyover ama superhighway, kwa sababu gari zinazoitumia ni mzee.

SGR is like a road. The locomotive passing on it can vary and be changed.

Another proof of the poor education standard in Tanzania, that has left you using 1% of your brains.
 
GDP yenu ni $52b hiyo nyingine ni mapishi tu ya slum
GDP ya Tanzania ni 72 Kwa sasa ila dunia aiwezi kusema ukweli wala sisi atutaki watujue nguvuzetu ila wataona matokeo ya miradi miaka miwili ijayo

😂 😂 😂
Tanzania government revenue yake ni chini ya nusu ya Kenya.
Tangu lini nchi yenye GDP ya juu ikaokota ushuru mdogo kuliko nchi yenye GDP ya chini?

Enda mjilinganishe na Burundi.
 
Unachosema ni kama kusema hakuna flyover ama superhighway, kwa sababu gari zinazoitumia ni mzee.

SGR is like a road. The locomotive passing on it can vary and be changed.

Another proof of the poor education standard in Tanzania, that has left you using 1% of your brains.
Reli yenye inafaa kufunga post za stima kweli mwanzo mwisho? Mbona haionekani.

Ila Poleni Sana. Kungurumisha hiyo gari moshi si mchezo! No wonder umepunguza some wagons ili kushusha gharama. I heard last year your so called SGR make a record loss of USD 100 million. That's not a good indicator thou mnasingizia season iko low saiv kati ya Mombasa na Naii.. Funny! Hadi usafiri ndani mnakuwa na season?
 
Reli yenye inafaa kufunga post za stima kweli mwanzo mwisho? Mbona haionekani.

Ila Poleni Sana. Kungurumisha hiyo gari moshi si mchezo! No wonder umepunguza some wagons ili kushusha gharama. I heard last year your so called SGR make a record loss of USD 100 million. That's not a good indicator thou mnasingizia season iko low saiv kati ya Mombasa na Naii.. Funny! Hadi usafiri ndani mnakuwa na season?

SGR is not a profit making scheme. It is there to drive the economy.

Kweli elimu ya kijinga ya Tanzania haikumueleza kwamba infrastructure kwa nchi za ulaya na zingine developed, huwa subsidized na serikali kila mwaka?

Alafu, SGR ya Kenya purpose yake kuu ni freight/cargo transport. 90% ya locomotive zake ni cargo.
SGR ya Tanzania purpose yake kuu ni kujilinganisha na Kenya, sio kubeba mizigo. Ni ya supremo kufurahisha raia wake.

Treni nyingi duniani za cargo hutumia diesel, sio electric.
Diesel trains ziko preffered kubeba mizigo ulimwengu mzima.
Ndio maana hivi leo, SGR ya Ethiopia imeacha kufanya kazi, ilhali ya Kenya haijawahi enda siku hata moja bila kazi.
 
SGR is not a profit making scheme. It is there to drive the economy.

Kweli elimu ya kijinga ya Tanzania haikumueleza kwamba infrastructure kwa nchi za ulaya na zingine developed, huwa subsidized na serikali kila mwaka?

Alafu, SGR ya Kenya purpose yake kuu ni freight/cargo transport. 90% ya locomotive zake ni cargo.
SGR ya Tanzania purpose yake kuu ni kujilinganisha na Kenya, sio kubeba mizigo. Ni ya supremo kufurahisha raia wake.

Treni nyingi duniani za cargo hutumia diesel, sio electric.
Diesel trains ziko preffered kubeba mizigo ulimwengu mzima.
Ndio maana hivi leo, SGR ya Ethiopia imeacha kufanya kazi, ilhali ya Kenya haijawahi enda siku hata moja bila kazi.
Thank you for your verbal diarrhea, Sasa tuliza mapacha chini tuende mosi mosi.

The reason ya kusema SGR yenye ni freight rail ni ili uzime hoja kwamba kwanini wasafiri wamepungua kwenye route hiyo ya Msa -NBO. Ukweli ni Kwamba Msa is dying kwa sababu ops nyingi zimehamia NBO, hivyo Msa wanaenda watalii tu wazungu na wenyeji kutembelea. Kibiashara Msa ndio inachungulia pabaya.

Halafu hujasema kama post za kuwekea stima zipo kwenye hiyo rail track? Halafu acha uzuzu uko Kenya hapo halafu unapimana ubavu na transport infrastructure za ulaya? SMH! Ndio maana mnapigwa tu nyie. Eti hazi generate income zinadepend subsides? Sasa Deni la mkopo litaisha lini kama bado na subsides mnatoa tena kwa wachina?

Well, public transport is not for profit, but it should have to generate income enough to cuter it's operations costs.

Halafu stay tuned. Next week utaona meli ziki berth locomotives na train [emoji582] . Hapo ndio utalinganisha vizuri.

Watu hawatumii magari moshi acha nyee nyee..teknolojia inaenda mbele hairudi nyuma. Afu Tz saiv tunashindana na Ethiopia huko..hapo kunyaland ni ligi ndogo kwa Tz. Nyingi bado sana.
 
Heheee!!!siku zote ukwel haupingiki🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hapa kiasi cha pesa kilichotajwa ni zaidi ya $2B, daraja pekee ni zaidi ya $800M, hivyo vingine vitameza $1.2B, lakini hadi sasa pesa iliyopatikana ni hiyo Ksh 46B, sasa wapi pameandikwa daraja litagharimu Ksh 46B?. Hahahaha, Hahahaha, wajinga sana ninyi.
20191005_233200.jpeg
20191005_233249.jpeg
 
Yani nakupiga na link yako mwenyewe...tatizo uvivu na kutoelewa kingereza vizuri...
Punguza ukurupukaji jomba[emoji382][emoji382]
Hapa kiasi cha pesa kilichotajwa ni zaidi ya $2B, daraja pekee ni zaidi ya $800M, hivyo vingine vitameza $1.2B, lakini hadi sasa pesa iliyopatikana ni hiyo Ksh 46B, sasa wapi pameandikwa daraja litagharimu Ksh 46B?. Hahahaha, Hahahaha, wajinga sana ninyi.
 
Umeshindwa na hoja🤣🤣🤣...usijali lkn, km inakuuma hyo bridge jieleze kivingine
Bwaaaaaahhhhhh mkikuyu una furahi kutafuna Pesa za wakenya kifisadi ngoja uchaguzi ujao mchinjane
 

Hahahaha, Hahahaha.
Eeyeeeeeeh!!!
Kakaa umeisoma hii comment?!

Herman Manyora 4 Yu Have Said Everything In Which I Say That It's Sad The Way We Kenyans are Dying From Aflatoxin Maize, Mercury Sugar, Sewage Cabbage, Road Accidents Which are Worse & Now Even Thru Ferries Which I Say That The Likoni Ferry .

Dah hii nchi hapana.
 
Yani nakupiga na link yako mwenyewe...tatizo uvivu na kutoelewa kingereza vizuri...
Punguza ukurupukaji jomba[emoji382][emoji382]
Tatizo ni uwezo wenu mdogo wa akili, ndio sababu mnaibiwa katika kila mradi wa serikali yenu, uwezo wenu mdogo wa akili ndio unasababisha mnashindwa hata kupambana na rushwa, Sonko aneshindwa kuvumilia ameamua kuwafungua akili kwa kuwawekea hii video.
 
Umeruka tena...
Enhee!!sonko kaweka, umemskia nani akimuita mpiga dili au sio mzalendo...

Km ni zitto sai keshapewa kesi ya uhujumu uchumi, ama utaskia wasiojulikana walishamkamata na kutokomea naye...

Matunda ya katiba hayo..haijalishi uko chama gani...kemu mwanchama wa ccm ayaseme mabaya ya nchi uone km hatotumbuliwa ndani ya masaa 24 na kubamizwa na kesi zisizoeleweka
Tatizo ni uwezo wenu mdogo wa akili, ndio sababu mnaibiwa katika kila mradi wa serikali yenu, uwezo wenu mdogo wa akili ndio unasababisha mnashindwa hata kupambana na rushwa, Sonko aneshindwa kuvumilia ameamua kuwafungua akili kwa kuwawekea hii video.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tanzania government revenue yake ni chini ya nusu ya Kenya.
Tangu lini nchi yenye GDP ya juu ikaokota ushuru mdogo kuliko nchi yenye GDP ya chini?

Enda mjilinganishe na Burundi.
One $1 in Tgovt inafanya kazi kubwa × 5 ya one $1 in Kgovt
Sasa kama unajua uchumi utanielewa nini namaanisha
 
Msilinganishe mombasa gare bridge na hio kitu ya lake Victoria. 15m over water na 69m is something to compare?
Mombasa bridge is 1.4km long suspended 69m high. 10km of new roads and interchanges in Mombasa and likoni for $42b.
Kama ile Kingamboni bridge ingekua imejengwa kati kati ya Dar is slum, kubomoa majumba 800kwenye CBD, na largest ships in the world pass below it, ingekua cheap?
 
Wajinga hao bro...wanafikiria kubomoa majumba CBD ni rahisi
Msilinganishe mombasa gare bridge na hio kitu ya lake Victoria. 15m over water na 69m is something to compare?
Mombasa bridge is 1.4km long suspended 69m high. 10km of new roads and interchanges in Mombasa and likoni for $42b.
Kama ile Kingamboni bridge ingekua imejengwa kati kati ya Dar is slum, kubomoa majumba 800kwenye CBD, na largest ships in the world pass below it, ingekua cheap?
 
One $1 in Tgovt inafanya kazi kubwa × 5 ya one $1 in Kgovt
Sasa kama unajua uchumi utanielewa nini namaanisha

Endelea kujidanganya.. 😂 😂 😂 Utaamka tu.
Flyover Nairobi zaidi ya 50. Dar mnajenga ya kwanza.
Stima Tanzania 32%. Kenya 69%.
Gap ya GDP imeongezeka kutoka $15 billion miaka mitano iliyopita, hadi $30 billion leo hii.
 
The reason ya kusema SGR yenye ni freight rail ni ili uzime hoja kwamba kwanini wasafiri wamepungua kwenye route hiyo ya Msa -NBO. Ukweli ni Kwamba Msa is dying kwa sababu ops nyingi zimehamia NBO, hivyo Msa wanaenda watalii tu wazungu na wenyeji kutembelea. Kibiashara Msa ndio inachungulia pabaya.

SGR is always fully booked. Wewe enda ukaangaliwe kichwa.
 
Back
Top Bottom