Serikali ya Kenya kuuza Makampuni 26 ya kiserikali ili kufidia sehemu ya Bajeti na kutekeleza miradi

Unapokuwa na budget ya $30 bln halafu tax collection less than $15 bln! Huna jinsi!
 
Serikali zote makini Duniani zinajikita kwenye ukisanyaji wa Kodi, Zinajitoa 100% kwenye biashara! USA mpaka magereza wamebinafshisha.
Wenzenu wanainamiliki petro dollar ambayo ni sawa na biashara. Sasa Kenya ina nini?
 
Kenya Ports Authority hii ndiyo imenivutia zaidi, itauzwa shillingi ngapi niitafutie mteja fasta nipige cha udalali au wachina wameshafika bei?
 
Serikali zote makini Duniani zinajikita kwenye ukisanyaji wa Kodi, Zinajitoa 100% kwenye biashara! USA mpaka magereza wamebinafshisha.
Sasa ndugu unataka tuwe kama marekani ambao kampuni binafsi za magereza zinayataka majimbo waliyo na mkataba nao kuhakikisha jela zao haziwi under capacity
 
Bongo people are here bringing their supposed expertise and propaganda without reading the full article to the end
"Currently, there are 262 state corporations and agencies but the government plans to reduce them to 187 by merging them to eliminate duplication. "

1.The govt is not selling everything
2.There is a more detailed document showing what the govt owns and what they are offloading and in what manner
3. Most of these Parastatals have made the govt so big, introducing wastage , duplication and corruption.

Issues Kenyans have with this.
1.why are some of them being sold yet they make so much money and are very stratergic
eg.Kenya ports Authority
Kenya pipeline
Kengen
2.will the selling be transparent ?
3.Will those executives that have been mis-managing them be brought to book.?





 
Uchambuzi ulio kwenda Shule
 
The problem is not selling, it is the reason for selling, this means if the money will not be enough to finance the budget, what next?
 
The problem is not selling, it is the reason for selling, this means if the money will not be enough to finance the budget, what next?

You think they are being sold to finance all the budget,?? the amount the govt will get from selling is so insignificant compared to the budget deficit, it may be just an excuse for a major scam coming.
 
You think they are being sold to finance all the budget,?? the amount the govt will get from selling is so insignificant compared to the budget deficit, it may be just an excuse for a major scam coming.
Hiyo ni tafsiri yako vile unavyohisi, wangeweza kuandika " Serikali inauza makampuni kutokana kutoendeshwa kwa faida". Ila hapa wamesema ili kupata pesa za kufidia nakisi ya bajeti.
 
Daaa mkuu some time Tuwe tunatoa suruhisho Kwa manana kinacho tokea Kenya kinaweza tokea TZ.
 
Hiyo ni tafsiri yako vile unavyohisi, wangeweza kuandika " Serikali inauza makampuni kutokana kutoendeshwa kwa faida". Ila hapa wamesema ili kupata pesa za kufidia nakisi ya bajeti.
Umeisoma hiyo attached image of some of the objectives of privatization.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…