Mbona hueleweki?, kinachozungumzwa ni bajeti za hizi nchi kulinganisha na mapato ya hizi nchi.
Kenya mnapanga bajeti kubwa sana kulinganisha na uwezo wenu, kwanini huwa mnapenda kujikweza sana kuliko uwezo wenu?. Ona sasa mnazidi kujiweka pabaya hadi mnauza KPA shirika mama na muhimu sana kwa uchumi na economic freedom ya nchi yenu.
Usipanic kaka, kinachosemwa hapa ni ninyi kupanga bajeti kubwa kuliko uwezo wa kipato chenu. Sisi tunapanga bajeti yetu kutokana na uwezo WETU tulionae, sasa wewe unapanga kula kuku kila siku kwa pesa ya mkopo, utauza hadi Sox za VIATU usipokua makini.Wewe umekubali nyie LDC?., $55b gdp., on a population ya aprox. 60million?., kisha mnajaribu kujiweka na Kenya., nyie na Ethiopia mpo down despite infrastructures investments ambazo zibawafunga macho na positive gdp growth., population inawamwaga itabidi mtie bidii zaidi ya sasa.
It is written in a year ending June 2018 meaning in a financial year ending June 2018!Is that annual?
Kenyatta anaimezea mate Kenya Ports Authority na Kenya Pipeline Company..Lakini limbukeni za Jubilee hazi fahamu yanayo endelea..Mbona hueleweki?, kinachozungumzwa ni bajeti za hizi nchi kulinganisha na mapato ya hizi nchi.
Kenya mnapanga bajeti kubwa sana kulinganisha na uwezo wenu, kwanini huwa mnapenda kujikweza sana kuliko uwezo wenu?. Ona sasa mnazidi kujiweka pabaya hadi mnauza KPA shirika mama na muhimu sana kwa uchumi na economic freedom ya nchi yenu.
Of course kwa vigezo vya mzungu. Hatujipimi na nyie maana hamuwezi kuwa mfano.Wewe umekubali nyie LDC?., $55b gdp., on a population ya aprox. 60million?., kisha mnajaribu kujiweka na Kenya., nyie na Ethiopia mpo down despite infrastructures investments ambazo zibawafunga macho na positive gdp growth., population inawamwaga itabidi mtie bidii zaidi ya sasa.
Usipanic kaka, kinachosemwa hapa ni ninyi kupanga bajeti kubwa kuliko uwezo wa kipato chenu. Sisi tunapanga bajeti yetu kutokana na uwezo WETU tulionae, sasa wewe unapanga kula kuku kila siku kwa pesa ya mkopo, utauza hadi Sox za VIATU usipokua makini.
Kenya is starving to this extent....no more boasting my neighbour..... The situation is horrible.
Hahahaha hahahaha, Kenya you have privatized enough, matokeo yake ndio haya uchumi 63% ya GDP imo mikononi ya watu Elfu 8 pekee, the rest 45M wanamiliki 37% ya nchi, is this not enough?.Privatisation sio mbaya vile unadhania., govt always has a stake., it improves management and inhibits corruption.
Are you on your senses?Serikali zote makini Duniani zinajikita kwenye ukisanyaji wa Kodi, Zinajitoa 100% kwenye biashara! USA mpaka magereza wamebinafshisha.
Of course kwa vigezo vya mzungu. Hatujipimi na nyie maana hamuwezi kuwa mfano.
Hahahaha hahahaha, Kenya you have privatized enough, matokeo yake ndio haya uchumi 63% ya GDP imo mikononi ya watu Elfu 8 pekee, the rest 45M wanamiliki 37% ya nchi, is this not enough?.
Tatizo linalojitokeza hapa ni kwamba uuzaji wa safari hii unasukumwa zaidi na kupata pesa kwa ajili ya bajeti iliyopangwa bila kuangalia uwezo wa uchumi wa Kenya. Poor planning is a chronic disease among Kenyans.
MapovuThen get out of Kenyan news na ushughulikie vya kwenyu in Tz news section., mnafanya nini humu?., ukweli hampendi kuambiwa.,
Kenya bajeti ya maendeleo ni less than 30%, the rest ni recurrent expenditure, mainly salaries, unaposema huu sio wakati wa kukula unamaanisha nini?. 53% ya bajeti yenu yote mnatumia kwa mishahara, ambapo civil servants ni 2% ya wakenya wote, ila ndio wanaochukua 52% ya bajeti yenu.Sio nyang'au unazungumzia kaka![emoji23][emoji23]., a rich man mostly has loans to expand uwezo wake wa kibiashara., our budget is to finance our vision 2030 plans., sasa sio wakati wa kukula, ni kupanda kwa jasho na machungu., kukula ni mbele ama vizazi vya mbele. Mavuno bado., its a gamble, tunaeza chomeka pia na pia twaweza fanikiwa., ombi lenyu kwetu ni lipi?., nimeona wivu na majungu kwa wengi wenyu humu whenever Kenya does well, wakati ilipokua ikitarajiwa kuanguka.
Kenya bajeti ya maendeleo ni less than 30%, the rest ni recurrent expenditure, mainly salaries, unaposema huu sio wakati wa kukula unamaanisha nini?. 53% ya bajeti yenu yote mnatumia kwa mishahara, ambapo civil servants ni 2% ya wakenya wote, ila ndio wanaochukua 52% ya bajeti yenu.
Huko ndiyo kuendelea ambako unahisi Tanzania inawaonea wivu?. Mimi ninashauri muibane serikali yenu iweze kuwajali wananchi wa kawaida kwa kupunguza recurrent expenditures na kuongoza bajeti ya maendeleo, mtaweza kujenga miradi mingi kwa pesa za ndani na kupunguza kukopa au kuuza mashirika muhimu kama KPA.
Don't ask only, tell us what percentage of USA economy is in the hands of few people?.What percentage of US economy is held by the rich?., how does that translate in their lifestyle?., your GDP is held by private investments na CCM, whose cronies are benefiting more than the raiya., hakuna kitu unasema hapa, mko ovyo tu.
Aisee mkiuza KPA bora muuze nchi yote, hiyo ndiyo iliyoshikilia uchumi wa Kenya kwa sasa, utalii, manufacturing na Agriculture vipo ICU.KPA imekuchoma sana., we take chances when push comes to shove., sote tukae tuone baada ya miaka mitano lipi litatokea kisha tusemezane, I respect your opinion, but cant submit to your fears and worries.
KPA imekuchoma sana., we take chances when push comes to shove., sote tukae tuone baada ya miaka mitano lipi litatokea kisha tusemezane, I respect your opinion, but cant submit to your fears and worries.