Asante. Samahani kiswahili kinanitatiza kidogo. Huyo hatuwezi kubali aponyoke na dada yetu bila kutoa ng'ombe kadhaa. Ndio maana hataki kuzungumzia hili jambo. Lakini kila la kheri kwao.Yule mrembo wake ni dadako sio shemeji wako, huyo Bararosa ndiye shemeji sasa, japo sijui kama kafuata mila na desturi, katoa mahari au anafaidi dada yetu bure, na kama hajatoa basi aweke ratiba tujue lini tutakwenda kupokea kule Ukikuyuni.
Mimi sio kwamba ninapinga Kenya kutoa mkono wa rambirambi kwa Tanzania, ila ninahisi kwamba Kenya inajishusha sana kwa Tanzania, kwasababu Tanzania haijawahi kurudisha mkono wa pole kwa Kenya na bado kuna mambo mengi Kenya inaishutumu TZ kwamba inahujumu Kenya.Na mbona mnaongea vibaya? Eti Uhuru anajipendekeza?
Nadhani mmejifunza mengi. Si vizuri kucheka mwenzako anapokumbwa na matatizo. Mliwacheka wakenya waliokufa maji baada ya bwawa kukata. Hayo hayo maji ndiyo yaliyowaua wenzenu.
ACHEKAYE KILEMA KWAO KUNACHO
Hata USA hupokea rambirambi..muwe mnajielimisha kabla ya kuropoka!!!How can a donor country receive donations from kibera which you always snub here? I thought you have everything. Kenya ndio kusema hapa E.A Mpende msipende
Be humble then. Stop insulting U.K. M7 na kagame walipeana ngapi hivi?Hata USA hupokea rambirambi..muwe mnajielimisha kabla ya kuropoka!!!
Sijawahi kuona mganda mpuuzi kama wewe,aisee wakenya wamekuharibu sana!
andika sentensi zinazoeleweka..Be humble then. Stop insulting U.K. M7 na kagame walipeana ngapi hivi?
You are a nobody to order me around. I write whatever I want to write the way I want.andika sentensi zinazoeleweka..
kwanza lazima ujue rambirambi hazilazimishwi kutoa,ikiwa mtu katoa,ni sawa!..na ikiwa kuna mtu hajatoa,pia ni sawa!!!..wao walitoa salamu za pole za rambirambi!You are a nobody to order me around. I write whatever I want to write the way I want.
Nakuuliza museveni na kagame walitoa pesa ngapi za rambirambi?
Kwa hivyo acheni matusi. Yaani mtu anajinyima na kujitolea kusaidia mwingine halafu yule anayesaidiwa hata hana shukrani.kwanza lazima ujue rambirambi hazilazimishwi kutoa,ikiwa mtu katoa,ni sawa!..na ikiwa kuna mtu hajatoa,pia ni sawa!!!..wao walitoa salamu za pole za rambirambi!
Achana na mla ganja huyo.Really? Kweli ahsante ya punda ni mateke
Maskini lazima asidiwe brosimkatae umesahau roofing sheets,blackets etc alizo wapea Uhuru kwa lile eartquake..lazima tusaidie maskini
Japan earthquake: Aid flows in from across the world | Liz Ford and Claire ProvostMaskini lazima asidiwe bro