Serikali ya Kenya yatoa tamko kuhusu tishio dhidi ya wageni - hivyo punguzeni wasiwasi

Serikali ya Kenya yatoa tamko kuhusu tishio dhidi ya wageni - hivyo punguzeni wasiwasi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Serikali imesema huo sio msimamo wake na kwamba kila mgeni amekaribishwa nchini kufanya shughuli zake kihalali, pia imelaani tamko la huyo mbunge aliyeishiwa sera, ambaye naye ameomba msamaha kweye Twitter na kusema tamko lake lilikusudiwa Wachina wanaofanya kazi za umachinga mitaani.

Hivyo makelele yapungue, watu wanaolialia kuhusu hili wafahamu sio msimamo wa serikali, wala Wakenya, sisi Wakenya huwa hatuogopi ushindani kutoka kwa wageni maana wenyewe tunajiamini na wengi wetu ndio tunaogopwa kwenye baadhi y mataifa kwa jinsi huwa tunajituma, ambapo baadhi ya majirani wamebuni sera dhidi ya Wakenya japo kimya kimya kisa ushindani wetu.

Jaguar anafaa aite wanahabari na kutengua hii kauli, sio nzuri nakumbuka kuna kipindi Watanzania walifurushwa Msumbiji na kunyang'anywa mali yao, bila ya serikali yao kufanya chochote


------------------------

The Government has now moved to reassure foreign investors in the country of their security and that of their properties following a viral video of a Kenyan legislator threatening to forcefully remove them from Kenya.

Starehe Member of Parliament Charles ‘Jaguar’ Kanyi, in a video that has since gone viral, was heard telling foreigners engaged in business in his constituency to shut down and vacate the country failure to which they will be forcefully removed.

However, in a statement to newsrooms Tuesday evening, the Government denounced the MPs remarks adding that mitigating measures have since been instituted against them.

“We wish to state that this is not the position of the Government of the Republic of Kenya, and we denounce the comments carried in the video in the strongest terms possible,” read the statement from Government Spokesperson Cyrus Oguna.

“Such comments are unfortunate and have no place in today’s globalized environment. Kenyans are peace loving people who have over the years coexisted with others of different nationalities.”

MP Jaguar, in the video, was heard issuing Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i with a 24-hour ultimatum to deport all Chinese nationals and other foreigners carrying out businesses in Gikomba area.


gok-jpg.1138569
 
Serikali imesema huo sio msimamo wake na kwamba kila mgeni amekaribishwa nchini kufanya shughuli zake kihalali, pia imelaani tamko la huyo mbunge aliyeishiwa sera, ambaye naye ameomba msamaha kweye Twitter na kusema tamko lake lilikusudiwa Wachina wanaofanya kazi za umachinga mitaani.

Hivyo makelele yapungue, watu wanaolialia kuhusu hili wafahamu sio msimamo wa serikali, wala Wakenya, sisi Wakenya huwa hatuogopi ushindani kutoka kwa wageni maana wenyewe tunajiamini na wengi wetu ndio tunaogopwa kwenye baadhi y mataifa kwa jinsi huwa tunajituma, ambapo baadhi ya majirani wamebuni sera dhidi ya Wakenya japo kimya kimya kisa ushindani wetu.
-------------------------

The Government has now moved to reassure foreign investors in the country of their security and that of their properties following a viral video of a Kenyan legislator threatening to forcefully remove them from Kenya.

Starehe Member of Parliament Charles ‘Jaguar’ Kanyi, in a video that has since gone viral, was heard telling foreigners engaged in business in his constituency to shut down and vacate the country failure to which they will be forcefully removed.

However, in a statement to newsrooms Tuesday evening, the Government denounced the MPs remarks adding that mitigating measures have since been instituted against them.

“We wish to state that this is not the position of the Government of the Republic of Kenya, and we denounce the comments carried in the video in the strongest terms possible,” read the statement from Government Spokesperson Cyrus Oguna.

“Such comments are unfortunate and have no place in today’s globalized environment. Kenyans are peace loving people who have over the years coexisted with others of different nationalities.”

MP Jaguar, in the video, was heard issuing Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i with a 24-hour ultimatum to deport all Chinese nationals and other foreigners carrying out businesses in Gikomba area.


gok-jpg.1138569
acha majivuno nani anawaogopa wangese ninyi
 
Nilikua nimeanza kuorodhesha mashamba na wakenya wote mlio kwenye mahoteli ili akipigwa mtanzania hata mmoja huko kwenu basi ni kuchoma moto popote mlipowekeza na kuwauwa uwezo huo na sisi tunao

Ubavu huo hauna, hapo Msumbiji Watanzania wamechinjwa juzi na kufurushwa na kunyang'anywa mali zao na hakuna chochote mlichokifanya, hata rais wenu nakumbuka akitoa kauli za kuunga mkono huo ufurushwaji, alishangaa nini mnafuata huko.
Binafsi nachukia sana kauli za Jaguar, ukizingatia ni msanii pia na nyimbo zake hupendwa Tanzania, sijui alikua amelewa kitu gani, hizi kauli za kubaguana sio nzuri.
-------------------------

Takriban raia 132 wa Tanzania wanaoishi nchini Msumbiji wamefurushwa nchini humo huku wengine wasiojulikana wakidaiwa kukamatwa kufuatia operesheni ilioanzishwa na serikali ya taifa hilo.

Kulingana na serikali ya Msumbiji operesheni hiyo inalenga kuwatimua raia wa kigeni wanaoishi nchini humo kinyume cha sheria.

Taarifa ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki nchini Tanzania imesema kuwa raia waliofukuzwa ama hata kukamatwa ni wale wanaoishi mji wa Monte Puez kwa kuwa una raia wengi wa kigeni ikilinganishwa na miji mingine.

Kulingana na taarifa hiyo tayari ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji unaendelea kufanya mawasiliano ya kidiplomasia na serikali ya Msumbiji ili kuwahakikishia usalama raia wa Tanzania na mali yao nchini humo.

Inakadiriwa kuwa, Watanzania wapatao elfu tatu (3,000) wanaishi na kufanya shughuli za kiuchumi na kijamii katika mji huo wa Monte Puez.
Hatua hiyo inajiri licha ya mataifa ya Msumbiji na Tanzania kufanya mkutano wa kuainisha maeneo ya ushirikiano yakiwemo maswala ya kibiashara na uhamiaji.

Na huku operesheni hiyo ikiendelea serikali ya Tanzania imekuwakumbusha Watanzania wote waishio ughaibuni, kufuata Sheria na taratibu za nchi hizo wanazoishi.
 
Serikali imesema huo sio msimamo wake na kwamba kila mgeni amekaribishwa nchini kufanya shughuli zake kihalali, pia imelaani tamko la huyo mbunge aliyeishiwa sera, ambaye naye ameomba msamaha kweye Twitter na kusema tamko lake lilikusudiwa Wachina wanaofanya kazi za umachinga mitaani.

Hivyo makelele yapungue, watu wanaolialia kuhusu hili wafahamu sio msimamo wa serikali, wala Wakenya, sisi Wakenya huwa hatuogopi ushindani kutoka kwa wageni maana wenyewe tunajiamini na wengi wetu ndio tunaogopwa kwenye baadhi y mataifa kwa jinsi huwa tunajituma, ambapo baadhi ya majirani wamebuni sera dhidi ya Wakenya japo kimya kimya kisa ushindani wetu.
-------------------------

The Government has now moved to reassure foreign investors in the country of their security and that of their properties following a viral video of a Kenyan legislator threatening to forcefully remove them from Kenya.

Starehe Member of Parliament Charles ‘Jaguar’ Kanyi, in a video that has since gone viral, was heard telling foreigners engaged in business in his constituency to shut down and vacate the country failure to which they will be forcefully removed.

However, in a statement to newsrooms Tuesday evening, the Government denounced the MPs remarks adding that mitigating measures have since been instituted against them.

“We wish to state that this is not the position of the Government of the Republic of Kenya, and we denounce the comments carried in the video in the strongest terms possible,” read the statement from Government Spokesperson Cyrus Oguna.

“Such comments are unfortunate and have no place in today’s globalized environment. Kenyans are peace loving people who have over the years coexisted with others of different nationalities.”

MP Jaguar, in the video, was heard issuing Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i with a 24-hour ultimatum to deport all Chinese nationals and other foreigners carrying out businesses in Gikomba area.


gok-jpg.1138569
wakenya watu wa hovyo kabisa na minafiki
 
Sisi hatuna shida na wakenya tunashida na jaguar,maana aliongea yeye na wala hatutak ufafanuzi kutoka kwa mtu
 
Back
Top Bottom